rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,889
- 3,412
jamani mimi nafanya shunghuli mbalimbali kwa kushiriana na ndugu zetu wachaga
nimegundua wachaga wengi hasa wanaume hawajui kuongea,
maana yangu ni kwamba hawana uwezo wa kuongea kama watu wa pwani,
kwa wachache waliogundua hilo huwa wanakaa kimya mbele za watu,
lakini cha kushangaza hao hao wachaga wanatumia akili nyingi sana kuliko wale wanaojua kuongea,
kama mnajua hilo naombeni mnijuze zaidi
nimegundua wachaga wengi hasa wanaume hawajui kuongea,
maana yangu ni kwamba hawana uwezo wa kuongea kama watu wa pwani,
kwa wachache waliogundua hilo huwa wanakaa kimya mbele za watu,
lakini cha kushangaza hao hao wachaga wanatumia akili nyingi sana kuliko wale wanaojua kuongea,
kama mnajua hilo naombeni mnijuze zaidi