Wanachoka sana fikiria shida wanayopata kuwakilisha wananchi, huku mke anakungoja, huku nyumba ndogo halafu bado ka haki elimu kanangoja hotel!
Pumzi ndogo route ndefuuu lazima walale. Case study Komba na Kapuya! Ongezeeni na nyie
Komba kila siku wimbo wa maombolezo sauti hiyohiyo ya kingoni kazi kusinzia tu bungeni... Wimbo wake kuomboleza mandela unaboa kweli kweli. Sijui ni uvivu au amechoka?Asilimia kubwa ya wabunge wa CCM wanaongoza kwa kusinzia bungeni. Nitatoa ushahidi wa picha. Swali ni kwa nini? Je, ni kwa sababu wamebweteka na wingi wao bungeni? Je, wamesahau kuwa wametumwa kuwakilisha wananchi wao kuwasemea mambo yanayowasibu ili kuwaletea maendeleo? Au wamechoka na wamelewa madaraka? Ni kwa nini hasa?
Ushahidi wa picha mojawapo, ntaleta zingine kama mtahitaji zaidi
View attachment 125085View attachment 125244
Matumizi ya unga jamani huwezi kuuza pombe kama hutumii haya sasa onaaaaa zzzzzzzzz!!!!
Wana mimba