Salimhamad
Member
- Feb 21, 2011
- 30
- 7
Nyinyi vipofu, vizuwi pale anapozungumza Tundu Lisu juu ya Zanzibar na watu wake. Na akitokezea mwengine kuchukuwa mawazo yake naye atajibiwa kama anavyo jibiwa yeye. Pinda alijaribu akaona joto ya Zanzibar. Kwa hiyo musidhani kama Tindu ni mtu mwenye akili timamu kwetu sisi ni mbabaishaji na mdini...