Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Hili jambo najua hakuna atakayebisha kuwa wa tz wengi wana tabia ya kubana pua, kuanzia wanasiasa. Waimbaji wa bongo flavour,Watangazaji wa maredioni (clouds....) sina haja ya kuwataja kwa majina....wanajulikana.
Haipendezi kwa wanaume kubana pua, haya mambo sio mazuri jamani kufanywa na wanaume
Haipendezi kwa wanaume kubana pua, haya mambo sio mazuri jamani kufanywa na wanaume