Heshima kwenu wana-JF,
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara ni vigezo gani vinatumika ili vita yeyote kuwa mentioned kama ni Vita kuu ya Dunia?Na ni nani anajukumu la kusema kuwa hii ni Vita kuu ya Dunia (is it UN)?.Mpaka sasa kuna Vita kuu ya Dunia I & II.
Nilikuwa nafikiri kuwa moja ya kigezo ni idadi ya nchi zinazoshiriki kupigana ktk hiyo vita.Nikajiuliza kama hiki ni kigezo kimojawapo basi ni kwa nini vita zidi ya Ugaidi/terrorism visiitwe ni Vita kuu ya tatu ya Dunia?Maana karibu nchi zote duniani zinapambana ktk hii vita na magaidi/terrorist wamezagaa karibu dunia kote.
Naomba mawazo yenu ktk hili.
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara ni vigezo gani vinatumika ili vita yeyote kuwa mentioned kama ni Vita kuu ya Dunia?Na ni nani anajukumu la kusema kuwa hii ni Vita kuu ya Dunia (is it UN)?.Mpaka sasa kuna Vita kuu ya Dunia I & II.
Nilikuwa nafikiri kuwa moja ya kigezo ni idadi ya nchi zinazoshiriki kupigana ktk hiyo vita.Nikajiuliza kama hiki ni kigezo kimojawapo basi ni kwa nini vita zidi ya Ugaidi/terrorism visiitwe ni Vita kuu ya tatu ya Dunia?Maana karibu nchi zote duniani zinapambana ktk hii vita na magaidi/terrorist wamezagaa karibu dunia kote.
Naomba mawazo yenu ktk hili.