mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Wana JF
Hivi siasa sii ajira? inakuaje watu wengi ambao ni matapeli, wahuni, wavivu, wanaopenda easy life, dhuluma, na pesa za chapuchapu ndo unakuta ni wenyeviti na makatibu wa ccm? Ina maana chama hakiwezi kuwa na watu waadilifu?je hawa viongozi hawawajiki kwa wanachama?Kuna jamaa moja akaja akapanga chumba hoteli wiki kadhaa nakula na kalala siku ya kuondoka anapewa invoice alipe, anasema halipi, kisa mie ccm.eti wakicheza naye atafunga biashara yao. sasa wale wawekezaji wakaogopa sana, na hawakuweza kufanya lolote. Sasa imagine ccm kama mfumo wake wa uongozi umeoza kiasi hiki, na ndo baadhi yao wanachaguliwa ktk nafasi mbalimbali serikali. je tutafika? Hivi chama kikishika serikali hakiweza kumpa nafsi mtanzania yeyote nafasi bila kujali itikadi yake bali uwezo alionao wa kuleta mafanikio ktk kazi husika? kwa nini mkataba kwa kazi uendane na chama?
Hivi siasa sii ajira? inakuaje watu wengi ambao ni matapeli, wahuni, wavivu, wanaopenda easy life, dhuluma, na pesa za chapuchapu ndo unakuta ni wenyeviti na makatibu wa ccm? Ina maana chama hakiwezi kuwa na watu waadilifu?je hawa viongozi hawawajiki kwa wanachama?Kuna jamaa moja akaja akapanga chumba hoteli wiki kadhaa nakula na kalala siku ya kuondoka anapewa invoice alipe, anasema halipi, kisa mie ccm.eti wakicheza naye atafunga biashara yao. sasa wale wawekezaji wakaogopa sana, na hawakuweza kufanya lolote. Sasa imagine ccm kama mfumo wake wa uongozi umeoza kiasi hiki, na ndo baadhi yao wanachaguliwa ktk nafasi mbalimbali serikali. je tutafika? Hivi chama kikishika serikali hakiweza kumpa nafsi mtanzania yeyote nafasi bila kujali itikadi yake bali uwezo alionao wa kuleta mafanikio ktk kazi husika? kwa nini mkataba kwa kazi uendane na chama?