Hi!
Je hii ni kwa sababu ya kutopata malezi mema kutoka kwa wazazi?Au viongozi wa dini hawafanyi majukumu yao ipasavyo?Au ni kutokana na kusahau mila na desturi zetu!
Au sayansi na technolojia inasababisha!Lakini sayansi na technoolojia haimlazimishi mtu akatoe usichana au ujana wake kabla ya ndoa.
Nimepata mtazamo huu kutokana na vijana wengi wa JF kushangilia utoaji wa bikra kabla ya ndoa, wengi wanaona ni hali ya kawaida, vijana wengi kusema bila aibu lazima u test machine kabla ya ndoa.Wengine wanasema lazima upime oil, kuwa na nyumba ndogo limekuwa jambo la kawaida kwa vijana wengi wa JF.Maandiko matakatifu kuran na biblia vyote vinasisitiza msichana na mvulana ni lazima ajitunze hadi wakati wa ndoa pekee.
Ujumbe: Tusipokuwa makini huwenda tukawa wazazi tusiowapa watoto wetu mafundisho yanayompendeza Mungu.Siku zote shetani humzaa shetani hawezi kumzaa malaika.
Je hii ni kwa sababu ya kutopata malezi mema kutoka kwa wazazi?Au viongozi wa dini hawafanyi majukumu yao ipasavyo?Au ni kutokana na kusahau mila na desturi zetu!
Au sayansi na technolojia inasababisha!Lakini sayansi na technoolojia haimlazimishi mtu akatoe usichana au ujana wake kabla ya ndoa.
Nimepata mtazamo huu kutokana na vijana wengi wa JF kushangilia utoaji wa bikra kabla ya ndoa, wengi wanaona ni hali ya kawaida, vijana wengi kusema bila aibu lazima u test machine kabla ya ndoa.Wengine wanasema lazima upime oil, kuwa na nyumba ndogo limekuwa jambo la kawaida kwa vijana wengi wa JF.Maandiko matakatifu kuran na biblia vyote vinasisitiza msichana na mvulana ni lazima ajitunze hadi wakati wa ndoa pekee.
Ujumbe: Tusipokuwa makini huwenda tukawa wazazi tusiowapa watoto wetu mafundisho yanayompendeza Mungu.Siku zote shetani humzaa shetani hawezi kumzaa malaika.