Kwa nini Uwezo wetu wa Kulumbana kwa hoja Umeshuka kwa kasi...

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,697
-Ukitaka mtu akuchukie sio tu JF hata mtaani, pinga vikali kile anachodhani ni sahihi...
-ukitaka matusi au kejeli nenda kinyume na kile ambacho wengi wanadhani ni sahihi...
- kuna jamaa ukiwapinga wanakupiga hadi ban kuwaquote hahahahaa...
-kile ambacho jamii imekubaliana bila hata kuchakata kwa ndani, ukitaka kufukuzwa hata kwenye vikao au hata kijijini leta mawazo yako yatakayoonyesha
-debate clubs za zamani zilisaidia sana maana kila aliyesimama kutetea hoja alikuwa na sababu ya kwa nini anatetea, utamaduni huu unaporomoka kwa kasi...
-povu linachukua nafasi kwa speed ya hatari:D:D:D


JF raha sana ....

unadhani nini chanzo,
 
Kwa sababu tunahaminishwa ofu na huoga , toka uko juu hakutaki kabisa kukosolewa wala kupingwa, tunajenga taifa la ofu ,kizazi kisichoweza kuhoji.
Sasa kwakuwa tatizo limeanzia juu linashuka chini taratibu na kila anayehoji ataambiwa kuwa yeye ni UKAWA.
kweli na atakaesupport badala ya kujibiwa ataambia buku saba.
 
Sio kwamba elimu imeshuka? Mhitimu wa leo wa digrii ni sawa au kapitwa na mhitimu wa middle school? Ukoloni mamboleo umetunasa vilivyo, huwa najiuliza umewezaje kumiliki simu ya smart au laptop halafu hujitambui?

Wewe ni zaidi ya Chief Mangungo wa Kilosa, mi nilitaka niambiwe kuwa ukweli hauwezi kuishi, ila wanautambua vyema,na sababu zao. Sio waseme huo si ukweli kabisa, persee. Inaumiza sana.

Ukweli haukwepeki bana.
 
Sio kwamba elimu imeshuka? Mhitimu wa leo wa digrii ni sawa au kapitwa na mhitimu wa middle school? Ukoloni mamboleo umetunasa vilivyo, huwa najiuliza umewezaje kumiliki simu ya smart au laptop halafu hujitambui?

Wewe ni zaidi ya Chief Mangungo wa Kilosa, mi nilitaka niambiwe kuwa ukweli hauwezi kuishi, ila wanautambua vyema,na sababu zao. Sio waseme huo si ukweli kabisa, persee. Inaumiza sana.

Ukweli haukwepeki bana.
mkuu huko nako kunatatizo la kuoutsource ubongo google.
kile ambacho angefanya yeye, google inafikiria kwa niaba.
huoni hapo pia kuna tatizo...
Google inakuwa kama External HDD yetu,ya ubongo wetu tunaufanya kama RAM tu...
ukiwa hauna smartphone au PC basi ndio unakuwa kilaza kupitiliza...
siku hizi hata 43-14 bila calculator ya simu jasho linamtoka mtu...
 
Itikadi mkuu ndio inayotufanya tusiweze kurumbana kwa hoja, mfano wewe unaamini katika itikadi yako ya kuwa chama chako cha domo pira ndio suluhisho la maisha ya nchi yako, then mwengine anasema kuwa chama chake ndio tatuo na hapo kila mmoja kashiba itikadi yake, na itikadi ndio kitu kibaya. Sasa hapo mtarumbana mpaka mpaka mtatiana mkononi.
 
Itikadi mkuu ndio inayotufanya tusiweze kurumbana kwa hoja, mfano wewe unaamini katika itikadi yako ya kuwa chama chako cha domo pira ndio suluhisho la maisha ya nchi yako, then mwengine anasema kuwa chama chake ndio tatuo na hapo kila mmoja kashiba itikadi yake, na itikadi ndio kitu kibaya. Sasa hapo mtarumbana mpaka mpaka mtatiana mkononi.
kwa hiyo, hizi itikadi ndio shida au wenye itikadi wamezifanya kama imani za dini mkuu. maana zile hazibadilishiki
 
Ukiwa na viongozi aina ya bashite tegemea kushuka kwa hoja maana kinachotawala ni ubabe na kung'oa watu kucha vivyo hivyo mitaani ofisini mpaka bungeni sio hoja tena zinazoendelea bali viroja na ushabiki tuu.. Maana walionunua vyeti na taaluma wengi ndio wanaoongoza taasisi na ofisi sasa, huwezi kusikia hoja hapo sahau kabisaa.
 
Ukiwa na viongozi aina ya bashite tegemea kushuka kwa hoja maana kinachotawala ni ubabe na kung'oa watu kucha vivyo hivyo mitaani ofisini mpaka bungeni sio hoja tena zinazoendelea bali viroja na ushabiki tuu.. Maana walionunua vyeti na taaluma wengi ndio wanaoongoza taasisi na ofisi sasa, huwezi kusikia hoja hapo sahau kabisaa.
aisee.
 
mkuu huko nako kunatatizo la kuoutsource ubongo google.
kile ambacho angefanya yeye, google inafikiria kwa niaba.
huoni hapo pia kuna tatizo...
Google inakuwa kama External HDD yetu,ya ubongo wetu tunaufanya kama RAM tu...
ukiwa hauna smartphone au PC basi ndio unakuwa kilaza kupitiliza...
siku hizi hata 43-14 bila calculator ya simu jasho linamtoka mtu...
Hivi kuna darasa la saba "asiyejitambua" member wa Jf? Why?!?!!

Sidhani, nadhani Jf ni zaidi ya hapo, nadhani ndo sababu ni member, si kwingineko.

Ni kweli, wengi wanamiliki smart, ila sidhani wataingia huku, au ni ka fb na kwingine? Naamini, huku watu wanakuja purposely.
 
mkuu huko nako kunatatizo la kuoutsource ubongo google.
kile ambacho angefanya yeye, google inafikiria kwa niaba.
huoni hapo pia kuna tatizo...
Google inakuwa kama External HDD yetu,ya ubongo wetu tunaufanya kama RAM tu...
ukiwa hauna smartphone au PC basi ndio unakuwa kilaza kupitiliza...
siku hizi hata 43-14 bila calculator ya simu jasho linamtoka mtu...
Nadhani hili ni tatizo la watu binafsi bana, ujinga gani huu sasa?
 
Itikadi mkuu ndio inayotufanya tusiweze kurumbana kwa hoja, mfano wewe unaamini katika itikadi yako ya kuwa chama chako cha domo pira ndio suluhisho la maisha ya nchi yako, then mwengine anasema kuwa chama chake ndio tatuo na hapo kila mmoja kashiba itikadi yake, na itikadi ndio kitu kibaya. Sasa hapo mtarumbana mpaka mpaka mtatiana mkononi.
Mwisho wa yote kuna lililo kuu zaidi ya uchama, utaifa kwanza , utu na ubinadamu Mkuu navyo vipo.
 
Ukiwa na viongozi aina ya bashite tegemea kushuka kwa hoja maana kinachotawala ni ubabe na kung'oa watu kucha vivyo hivyo mitaani ofisini mpaka bungeni sio hoja tena zinazoendelea bali viroja na ushabiki tuu.. Maana walionunua vyeti na taaluma wengi ndio wanaoongoza taasisi na ofisi sasa, huwezi kusikia hoja hapo sahau kabisaa.
Kwahiyo wakiwepo hao mabashite wawili ndo Ukweli upingwe? Mi kwangu ni nchi kwanza. Vyama na watumishi wake bdae.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom