mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
- Thread starter
- #21
nimependa hiyo. Tatizo linaanza pale tunapolazimishana kuoina tanzania kupitia jicho ukawa au jicho CCM na itikadi zao na sio macho yetu. Mazungumzo yanakuwa hayahusishi free thinkingKwahiyo wakiwepo hao mabashite wawili ndo Ukweli upingwe? Mi kwangu ni nchi kwanza. Vyama na watumishi wake bdae.