nimesikia baadhi ya viongozi wanasema wapelekewe majina ya watu wenye pesa nje,eti serikali ya uswizi inataka majina ili ifanye uchunguzi,majina gaini wanayata ambayo wao hawana? watu wamefungua acount huko huko leo unasema una taka majina ina maana hao watu walifungua acount bila majina?