Ni jambo la kushangaza sana Tume ya uchaguzi inabadili sheria za mchezo katikati ya mechi. Hivi sasa matokeo ya ubunge na urais hayatangazwi tena katika kata .. Wapinzani wapo kimya!!
Kura zimemaliza kupigwa masaa 24 yaliyopita lakini wasimamizi wamegoma kuyatangaza mpaka wapewe maelekezo ya go ahead na CCM .. Wapinzani wamekaa kimya
My take:
Huu ndiyo wakati wa Dr. Slaa, Prof Lipumba kuitisha mkutano na waandishi wa habari na kutoa ultimatum kuwa matokeo yatangazwe yote, vinginevyo kinachoendelea Zanzibar kumhujumu Maalim Seif kikiisha kinahamia Bara. CCM wanachofanya ni ku-buy time ili kutuliza munkari za wapiga kura na kuwa fanya wachoke na suala hili ili wasione haja ya kudai haki yao kwa vyovyote.
Kinachoshangaza ni kwamba maeneo yote CCM iliposhinda yanatangazwa harakaharaka mpaka ya urais Singida mjini. Kila msimamizi amepewa talking point kuwa ni jiografia ngumu, ila wakati wa kusambaza vifaa in late hours jiografia ilikuwa rahisi. Huu ni upuuzi kama wa 1995, kura zikipigwa mawakala waka sign forms na mabox kufungwa nini cha ziada?. Huu upuuzi unatakiwa kukemewa kwa nguvu zote. WAPINZANI AMKENI MNAWAKATISHA TAMAA WATANZANIA WANAO WAANGALIA NINYI C'MON!
Kura zimemaliza kupigwa masaa 24 yaliyopita lakini wasimamizi wamegoma kuyatangaza mpaka wapewe maelekezo ya go ahead na CCM .. Wapinzani wamekaa kimya
My take:
Huu ndiyo wakati wa Dr. Slaa, Prof Lipumba kuitisha mkutano na waandishi wa habari na kutoa ultimatum kuwa matokeo yatangazwe yote, vinginevyo kinachoendelea Zanzibar kumhujumu Maalim Seif kikiisha kinahamia Bara. CCM wanachofanya ni ku-buy time ili kutuliza munkari za wapiga kura na kuwa fanya wachoke na suala hili ili wasione haja ya kudai haki yao kwa vyovyote.
Kinachoshangaza ni kwamba maeneo yote CCM iliposhinda yanatangazwa harakaharaka mpaka ya urais Singida mjini. Kila msimamizi amepewa talking point kuwa ni jiografia ngumu, ila wakati wa kusambaza vifaa in late hours jiografia ilikuwa rahisi. Huu ni upuuzi kama wa 1995, kura zikipigwa mawakala waka sign forms na mabox kufungwa nini cha ziada?. Huu upuuzi unatakiwa kukemewa kwa nguvu zote. WAPINZANI AMKENI MNAWAKATISHA TAMAA WATANZANIA WANAO WAANGALIA NINYI C'MON!