Kwa Nini Upinzani Tanzania umegawanyika?

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,603
Kuanzia 1995, kumekuwa na juhudi zisizozaa matunda za vyama vya upinzani kuwacha tafauti zao na kuungana. Ki mtazamo wangu, kuna mirengo miwili mikuu ya kisiasa: Mrengo wa kulia unaowakilisha mabepari na wa kushoto unaowakilisha wajamaa. Badaye kila mrengo unaweza kuwa na siasa za wastani na siaza za kihafidhina. Maswali yanayonitatiza ni haya:
1. Kuna mirengo mingapi ya kiitikadi za kisiasa Tanzania?
2. Kwa nini tuna utitiri wa vyama na vinafuata mirengo gani?
3. Nini malengo ya vyama hivi?

Naomba tulijadili hasa kuainisha mwelekeo wa kisiasa wa kila chama na malengo yake kwa wananchi.
 
hakuna cha mrengo wala nini,kula tu!

Huu ndio wasiwasi wangu, siamini kuwa kuna malengo zaidi ya 15 tafauti ya kuwatumikia na kuwakombboa Watanzania. Masikini Tanzania!
 
Back
Top Bottom