mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Siipendi nchi ya Israel kwa sababu eti iliwahi kutabiliwa au inakaupendeleo kidogo kuliko wanadamu wengine wa mataifa mengine hapana.
bila kujali ni kweli au sio kweli, naipenda israel kwa sababu ...
1:inajua kujisimamia na kutatua matatizo yake...
2:Haina maneno mengi ila kila tatizo inalolikabiri inajibu kwa vitendo.
3:Waisrael wamewekeza kwenye matokeo ya mwisho. Wako tayari kwa gharama yoyote ila kile walichopanga kifanikiwe.
4: Hawawezi kuhairisha mipango yao kwa sababu mtu flani au taifa flani haipendi au haimfurahishi.
5:Ukiwahujumu, wanauwezo wa kutumia matajiri wao, kununua hata kampuni yako au media house yako na kuineutralize moja kwa moja au kinyume nyume.
vipi wewe, kwa nini huipendi au unaipenda israel?
bila kujali ni kweli au sio kweli, naipenda israel kwa sababu ...
1:inajua kujisimamia na kutatua matatizo yake...
2:Haina maneno mengi ila kila tatizo inalolikabiri inajibu kwa vitendo.
3:Waisrael wamewekeza kwenye matokeo ya mwisho. Wako tayari kwa gharama yoyote ila kile walichopanga kifanikiwe.
4: Hawawezi kuhairisha mipango yao kwa sababu mtu flani au taifa flani haipendi au haimfurahishi.
5:Ukiwahujumu, wanauwezo wa kutumia matajiri wao, kununua hata kampuni yako au media house yako na kuineutralize moja kwa moja au kinyume nyume.
vipi wewe, kwa nini huipendi au unaipenda israel?