Kwa nini Ulizaliwa Tanzania?

Urenga One

Member
May 22, 2009
50
1
Masikini Tanzania yaani kila nikikaa, nikilala,nikitembea najiuliza kwanini nilizaliwa Tanzania? Kwani kila kukicha utasikia huyu kafanya hivi huyu kafanya vile lakini sheria hawachukuliwi, ukiangalia mabunge ya Wenzetu wanachofanya kama mutu amevurunda kwanza mabishano kisha kichapo hapo hapo ukumbini lakini kwetu watu wamelala wakiibuka wanapiga makofi. Yaani kila nikiamka lazima nijipige makonzi kwani kazi yangu kuuza magazeti najilaumu sana kuzaliwa Tanzania ni kheri ningezaliwa Niger watu wanauchungu wa Nchi wanaona Rais anawapotosha wanaamua kumpindua na wanachi wanasapoti sio hapa. Najuta sana kuzaliwa Tanzania kama ningekuwa na pesa ningeukana huu Uraia.

Swali la msingi kabisa kwanini ulizaliwa Tanzania?
 
Masikini Tanzania yaani kila nikikaa, nikilala,nikitembea najiuliza kwanini nilizaliwa Tanzania? Kwani kila kukicha utasikia huyu kafanya hivi huyu kafanya vile lakini sheria hawachukuliwi, ukiangalia mabunge ya Wenzetu wanachofanya kama mutu amevurunda kwanza mabishano kisha kichapo hapo hapo ukumbini lakini kwetu watu wamelala wakiibuka wanapiga makofi. Yaani kila nikiamka lazima nijipige makonzi kwani kazi yangu kuuza magazeti najilaumu sana kuzaliwa Tanzania ni kheri ningezaliwa Niger watu wanauchungu wa Nchi wanaona Rais anawapotosha wanaamua kumpindua na wanachi wanasapoti sio hapa. Najuta sana kuzaliwa Tanzania kama ningekuwa na pesa ningeukana huu Uraia.

Swali la msingi kabisa kwanini ulizaliwa Tanzania?


Urenga one hata mimi nashangaa kwanini nilizaliwa hapa nilijaribu kuwauliza watu hawana majibu ila Kalimangonga Ongara nafikiri mnamjua alizaliwa UK na sasa anaishi kule ingawa alikaa Bongo sana sasa hata mimi huwa natenga siku nijichapa nasema ukome kuzaliwa nchi ya Mafisadi na nafikiri kweli tutakoma mpaka Wadanganyika tubadilike. Eti nchi ina amani na utulivu ndio kigezo kikubwa kumbe nyuma ya pazia aaaahhhaaa!!!!!!!!!!
 
Masikini Tanzania yaani kila nikikaa, nikilala,nikitembea najiuliza kwanini nilizaliwa Tanzania? Kwani kila kukicha utasikia huyu kafanya hivi huyu kafanya vile lakini sheria hawachukuliwi, ukiangalia mabunge ya Wenzetu wanachofanya kama mutu amevurunda kwanza mabishano kisha kichapo hapo hapo ukumbini lakini kwetu watu wamelala wakiibuka wanapiga makofi. Yaani kila nikiamka lazima nijipige makonzi kwani kazi yangu kuuza magazeti najilaumu sana kuzaliwa Tanzania ni kheri ningezaliwa Niger watu wanauchungu wa Nchi wanaona Rais anawapotosha wanaamua kumpindua na wanachi wanasapoti sio hapa. Najuta sana kuzaliwa Tanzania kama ningekuwa na pesa ningeukana huu Uraia.

Swali la msingi kabisa kwanini ulizaliwa Tanzania?

Pfffff...! Swali gumu. Ntacheki na baba na mama waniambie kwa nn hawakupanda ndege wakaenda 1st world nkazaliwe kule then warudi. @ least ninge kwalifai kuwa raia wa nchi husika.

Hiyo hapo juu ni ktk kujib swali tu.
On th other hand mie najivunia kua mtz. Nlishakaa ughaibun miaka kama 2 nchi tofautix2. Kwa kweli nsingependa nitoke hapa nikaish huko.
Unakosa uhuru. Kila m2 anakuangalia wewe kama mgeni na hata ukifanikiwa kupata makaratasi kuna baadh ya mambo utakua unabaguliwa.
Kila inchi tukubaliane ina matatizo yake. Huko Niger ulikotaja pia hilo ni tatizo. Rushwa mfano ipo mpaka 1st au 2nd worlds japo wenze2 wanakula and @ th same tyme wanatimiza wajibu wao kwa wananchi wao sio kama hapa kwe2.
Mambumbumbu walarushwa wa hapa ni maziro. Mtu anapewa kusimamia mradi wa mil 500 mathalani. Anakula hata mil 250. Mwisho wa siku mradi unatekelezwa ndio lakin unakua quality ya chini sana.

To conclude, pamoja na matatizo ye2 yoote huniondoi tz kudadadeki hata kwa Green Cards za bure. Naishi kwa matumaini. I believe one day uonevu wote utakwisha! Tunajukumu la kuwaandaa watoto we2 ktk maadili yanayokubalika. Japo nakiri this will take time!
Asanten
 
Yah inamake sense lakini tayari imeshatokea sasa nadhani kila mmoja wetu aonyeshe hii dhana ya uwajibikaji otherwise hata hawa makido wetu wataanza kutulalamikia sie washua wao mazee.
Lakini inasikitisha sana................................
 
bongo patamu sana. hiki kijiwe si mchezo kizuri sana, sisi wananchi ndo tunalala huko niger si wananchi wameamka ndo maana unakusifia? ukiambiwa twende tukaandamane pale mnazi mmoja upo tayari? au tuingie msituni upo tayari? si nyie wakati wa uchaguzi mnadanganywa na tshirt na kanga? sisi wenyewe wananchi tumelala ndo maana viongozi wanafanya wanavyotaka
 
Nakubaliana na akina Tripo9 hapo juu. Hizo nchi nyingine hazikushushwa "ready made" kutoka mbinguni, wananchi wao waliamua kufanya kazi kwa bidii na kujenga nchi zao. Nyingi ya hizi nchi hata miaka ya 1950's zilikua katika hali mbaya tu....kwa hiyo ni sisi wananchi wenyewe kuamua na kujipanga.

Wala usijutie kuzaliwa Tanzania ndugu yangu, pamoja na matatizo yake yote, mambo yataanza kubadilika. Kwa nini uende nchi za watu just to be treated like a second-class citizen?
 
ulikuwa unataka uzaliwe nchi gani?..haiti? nigeria?iraq? pakistan ? kilwa ? palestina au kabul?
usije ukataja US:
 
Du Najuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuta!! kuzaliwa Tz kwani hapo mida ikienda wajukuu watakuliza swali hivi babu nyie hamkuweza kuzuia uchumi usiliwe na wengine na elimu duni utawajibu nilikuwa wa kwanza darasani, Je nauchumi nao nyie acheni hizo mnatakiwa kwanza mjute kuzaliwa pili tuandamane kudai rasilimali zetu kwa BM, RA, EL,FS, CM,AM na wengineoooooooooooooooooooo watajeni sasa au tutaishia kusema inji hii ililiwa na wajanja?
 
ulikuwa unataka uzaliwe nchi gani?..haiti? nigeria?iraq? pakistan ? kilwa ? palestina au kabul?
usije ukataja US:

Mkubwa: nyani<abiziani mimi ningependa nizaliwe Niger au Rwanda katika nchi hizo nichagulie wewe mkubwa maana du!! we cheni walivyoamka sio sisi wanasema Rada itanunuliwa hata mkila majani kisha kumbe rushwa tu nammaindi huyu aliyesema kauli hiii sijui Mh. gani vile
 
Nahisi kama vile unadanganywa na pepo mchafu! Unahitaji maombi ya kufunga na kukesha! Unajuta kuzaliwa Tanzania?



Pale au wewe upo matawi??? maana siye tumechoka na maisha haya mwana tunakabwa mchana kwaupe na watu wanakuona hawakupi msaada
 
Kwa wengine woote hapo mimi naona mnakosea sana eti kwanini ujute au wewe FISADI njoo huku uswekeni utuone tulivyochoka mtu unashindia kipande cha mhindi,au muhogo na unakula dumu si kwa kutaka kupoteza mawazo tu.Wewe inaelekea hujawahi kupanda daladala pale ubungo mara magari yasimame mkikimbia linaondoka yaani mnapelelekwa kama tiara sasa hapo hujuti tu basi wewe FISADI
 
Masikini Tanzania yaani kila nikikaa, nikilala,nikitembea najiuliza kwanini nilizaliwa Tanzania? Kwani kila kukicha utasikia huyu kafanya hivi huyu kafanya vile lakini sheria hawachukuliwi, ukiangalia mabunge ya Wenzetu wanachofanya kama mutu amevurunda kwanza mabishano kisha kichapo hapo hapo ukumbini lakini kwetu watu wamelala wakiibuka wanapiga makofi. Yaani kila nikiamka lazima nijipige makonzi kwani kazi yangu kuuza magazeti najilaumu sana kuzaliwa Tanzania ni kheri ningezaliwa Niger watu wanauchungu wa Nchi wanaona Rais anawapotosha wanaamua kumpindua na wanachi wanasapoti sio hapa. Najuta sana kuzaliwa Tanzania kama ningekuwa na pesa ningeukana huu Uraia.

Swali la msingi kabisa kwanini ulizaliwa Tanzania?

Usikonde mtu wangu, badili kabila, timua, jiendee zako Dafur
 
Darfur wanazungumuza kiarabu na mimi najua kiswahili, Kifaransa na kingereza sasa niende wapi wajameni mimi nataka jione kuwa raia wa Rwanda au Niger mandeleyo si munayaona?
 
Masikini Tanzania yaani kila nikikaa, nikilala,nikitembea najiuliza kwanini nilizaliwa Tanzania? Kwani kila kukicha utasikia huyu kafanya hivi huyu kafanya vile lakini sheria hawachukuliwi, ukiangalia mabunge ya Wenzetu wanachofanya kama mutu amevurunda kwanza mabishano kisha kichapo hapo hapo ukumbini lakini kwetu watu wamelala wakiibuka wanapiga makofi. Yaani kila nikiamka lazima nijipige makonzi kwani kazi yangu kuuza magazeti najilaumu sana kuzaliwa Tanzania ni kheri ningezaliwa Niger watu wanauchungu wa Nchi wanaona Rais anawapotosha wanaamua kumpindua na wanachi wanasapoti sio hapa. Najuta sana kuzaliwa Tanzania kama ningekuwa na pesa ningeukana huu Uraia.

Swali la msingi kabisa kwanini ulizaliwa Tanzania?

Hujajua tu?

Umezaliwa TANZANIA ili ulete mabadiliko.
Umezaliwa TANZANIA ili kuleta mabadiliko "UNAYOYATAKA"
 
Pale au wewe upo matawi??? maana siye tumechoka na maisha haya mwana tunakabwa mchana kwaupe na watu wanakuona hawakupi msaada

Hahahaha...
Ndugu mfungwa badili tabia. Labda unawapita watu bila kuwasalimia aka uso wa mbuzi.
Ndo maana wakikuona unaporwa wanaangalia tu.
 
Usijute kuzaliwa Tanzania. Jilaumu kwa kukaa pembeni ya ulingo na kulalamika. Mvunja nchi ni mwananchi. Nini mchango wako katika kuirekebisha nchi yako? Viongozi wa nchi wanatokana na wananchi wake. Viongozi wabovu wa wananchi wanapatikana miongoni mwa wananchi wabovu. Ukweli unauma.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom