Kwanini ukiwa hauna pesa unadharaulika?

Kwasababu ulipopata pesa ulikua unadharau sana nakujiona unamchango mkubwa kuliko wengine, na ukasahau kua maisha ubadilika leo waweza kua chini kesho juu.
sasa hapo kwanini wasikudharau
Duuuuh!!
 
Na kwa nini ukose pesa? Unadharaulika kwa sababu hakuna mtu anakosa mbinu ya kutafuta pesa....
 
Wakuu Kama kichwa cha Uzi kinavyosomeka hapo juu

Hivi Ni kwa nini mtu ukiwa huna pesa ,yaani ninamaanisha ukiwa na maisha duni unadharaulika?

Na hili utaliona kuanzia ngazi ya familia,jamii inayokuzunguka na muda mwingine hata kwenye nyumba za ibada

Ni kwa nini mtu Kama huna kitu watu wanashindwa kuthamini hata utu wako?
Inategemea umefanya Nini mpaka wamekudharau. Kuna mtu unakuta Ana nguvu kabisa lakini kazi hataki yaani hafanyi juhudi za kupata kazi Apo ata Mimi ningekudharau maana unakua mzigo kwa wenzio na familia. Au unakuta ata kazi za nyumbani mtu hasaidii.

Makanisa pia huendeshwa na pesa...kwaiyo Kama huna chochote Kama saddaka ambayo hutumiwa kuilipa kwaya, viombo vya mziki, mapadre, usafi wa sehem za ibada mapadre watakulaje Sasa?

Huwezi kudharaulika bila sababu lazima Kuna kitendo unafanya kinachopelekea mtu akakudharau. Kuna watu hawana pesa lakini Wana nidhamu na wanakubalika tatizo linakuja pale unapokua jeuri, mjuaji, mtumiaji kuliko wengine alafu huna mchango katika jamii na familia.
 
Together as One,
1. Unafiki ndio chanzo kikuu.

2. Kujishtukia, kutokukubaliana na hali halisi.
Ukubaliane na Hali halisi kwamba huna pesa au? yani ukiwa huna pesa hata wewe mwenyewe unajidharau husubiri hata kudharauliwa na wengine, yani hata maombi ya mtu maskini anaomba kwa kumlalamikia mungu, maskini Hana maombi ya shukrani , yan hata afyaanaona haitoshi anamlaumu kwa nn yeye ana maisha duni, ,
 
Back
Top Bottom