Kwa nini ukilewa tu? for men only...

jeviounipers

Member
Jan 5, 2011
68
26
du...................................................................................................................!
 
mkuu kweli tunahitaji katiba mpya, lakini nazani hii haihusiani kabisa na siasa.
 
avatar34492_1.gif


No wonder hata mahesabu hayapandi??
 
Habarini za wakati huu wandugu wenzangu, wake kwa waume (especially wanaume). Naamini wengi wenu kama ilivyo kwangu ni watumiaji wa kilevi japo tunatofautiana viwango, wengine na ahmada sana , wengine wastani na wengine hawatumii kabisa.

Sasa naomba msaada hapa wa kisaikolojia with connection to alcohol, mimi na baadhi ya watumiaji wa alchohol japo sio wote huwa kuna katabia ka kumuona MWANAMKE amekuwa MZURI kupita kawaida pindi alcohol inapoanza kuchanganya, lakini few minutes ago inawezekana ulikua ukimponda kuwa ni MBAYA kimoyomoyo au hadharani, lakini ile kitu (keroro) ikianza kuchanganya basi na yeye anabadilika. Mara macho waona mazuri, mara hips....nk

Je kitaalam hii ni tabia ya mtu mwenyewe au ni vimbwanga vya alcohol, na je ki taalam inatokana na nini haswa, logically?
Mkuu hili ni jukwaa la siasa..... hii habari hamishia jukwaa linalohusika....
 
Ni kale ka bia ndo kanakudaatisha, ikiisha kila ki2 kinakuwa normal. Jiulize kwa nini hasa uswazi m2 akitaka kumpasha mwenzake anasema ngoja aondoe nishai? Anagonga bia au bange chochote mradi apate stim?
 
The more you drink the more stupid you become! Ila wanawake wote ni wazuri tu jamani. Sorry The thread was meant for men
 
The more you drink the more stupid you become! Ila wanawake wote ni wazuri tu jamani. Sorry The thread was meant for men
Vivian njoo nikupe busu mwanana.....chagua unataka la wapi.....la huku au kule au hapa chini au bapa niliposhika?......hahabahaaa
 
Vivian njoo nikupe busu mwanana.....chagua unataka la wapi.....la huku au kule au hapa chini au bapa niliposhika?......hahabahaaa

halafu Brigita wewe!! Hujatulia kabisaa au ndio tayari umeanza kuprove theory ya Mleta Sredi. tehe tehe
 
Habarini za wakati huu wandugu wenzangu, wake kwa waume (especially wanaume). Naamini wengi wenu kama ilivyo kwangu ni watumiaji wa kilevi japo tunatofautiana viwango, wengine na ahmada sana , wengine wastani na wengine hawatumii kabisa.

Sasa naomba msaada hapa wa kisaikolojia with connection to alcohol, mimi na baadhi ya watumiaji wa alchohol japo sio wote huwa kuna katabia ka kumuona MWANAMKE amekuwa MZURI kupita kawaida pindi alcohol inapoanza kuchanganya, lakini few minutes ago inawezekana ulikua ukimponda kuwa ni MBAYA kimoyomoyo au hadharani, lakini ile kitu (keroro) ikianza kuchanganya basi na yeye anabadilika. Mara macho waona mazuri, mara hips....nk

Je kitaalam hii ni tabia ya mtu mwenyewe au ni vimbwanga vya alcohol, na je ki taalam inatokana na nini haswa, logically?

Mwanangu hiyo avatar yako nadhani pia imechangia form four kufeli sana, huenda walidesa kwako!
 
Vivian njoo nikupe busu mwanana.....chagua unataka la wapi.....la huku au kule au hapa chini au bapa niliposhika?......hahabahaaa

hhahahahahahahahahahahahahahahaha, tehtehtherthetehethethethethehhtehehtehtehethehtehehetehethehtehhhehehehehehehehehehhe,, hohohohohohohohoohohihihihhhahahahahhaha........ mbavu sina!!!!!!
 
Back
Top Bottom