Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 316
Ivi kwa nini tunaita huu WIZI wa kura UCHAKACHUAJI? Ni kwa ajili ya kupunguza makali ya ukweli wa jambo au vipi? Kwa nini tusiuite kwa jina lake sahihi - yaani WIZI? Tunataka kugeuza huu wizi kama tulivyogeuza rushwa mwaka 2005 na kuiita takrima?
Tuache kubadilisha maneno kwa kusudi la kupunguza makali. Kitu NEC walichoafanya katika huu uchaguzi ni WIZI na hatuhitaji kulipa jina/neno lingine!!
Tuache kubadilisha maneno kwa kusudi la kupunguza makali. Kitu NEC walichoafanya katika huu uchaguzi ni WIZI na hatuhitaji kulipa jina/neno lingine!!