Kwa nini tume inachelewa kutangaza matokeo Igunga? Vurugu zimeanza

kuna mambo mengi sana yamejificha nyuma.....ccm wanalazimisha kuna matokea ya kata 3 ccm wameshindwa lakini kina mwigulu wakaja na matokeo yao kuwa wamshinda katika kazi hizo.....
 
Hivi kama vyama vilikuwa na helkopta zinatua kila mahali walipotaka kufanya campaign kwa nini NEC washindwe kufuata hayo matokeo kwa njia hiyo hiyo?

Sasa wakiyakusanya fasta nanma hiyo watawezaje kuchakachua? coz kuchakachua inahitaji muda, ndiyo mana matokeo ya vijijini ndiyo ccm wanacheza nayo na kuwapa ushindi. Sio kwamba vijijini hawaelewi kwamba ccm ni vimeo hapana, wanachakachua wakati wa kusafirisha na kuchukua takwimu
 
kwan dr slaa yupo wapi kutangaza naye yake?,ebwana kama noma na iwe noma hawa magamba wamezid ushenzi. Mi napatwa na hasira jaman CCM wanavyo2fanyia watz

Dr Slaa ni mtu makini sana hawezi kukurupuka kama nape, nadhani anasubiri kuona CCM wanachakachuaje, believe me jamaa wakitokea watakuwa na data za ukweli.
Angalia hata magazeti ya leo, ya ccm yote yametangaza ushindi yale makini yameripoti machuano mkali, hajajulikana mshindi,ingependeka na ccm wangesubiri tume itoe matokeo rasmi
 
WADau kuna mtu kanijuza kuwa kuna vurugu IguNGA, je ni kweli?

Ndugu yangu kama haki ikicheleweshwa vurugu lazima! wasiwasi wangu naiona damu ikimwagika kwa mara nyingi tena Raisi yeyote ajaye katika nchi hii lazima amshitaki kikwete ni mwizi tena muuaji kabisa.
 
unauhakika?? inamaana wameanza kuona dalili za kushindwa na wameanza kuchakachua matokeo! Mavi yao na km hali ndio hy br mapanga yatembee


ilikuwa ni jana usiku saa tano...kwa kifupi ni kuwa ccm wameiba kura...na wao ndiowanacheleweza zoezi zima la matokeo.....
 
Makamanda wetu wa Chadema naombeni muwe makini sana mida kama hii, hii ndo ile mida ya 'one mistake one goal', Pleaseeee kuweni makini.
 
kuna mambo mengi sana yamejificha nyuma.....ccm wanalazimisha kuna matokea ya kata 3 ccm wameshindwa lakini kina mwigulu wakaja na matokeo yao kuwa wamshinda katika kazi hizo.....

wanajumlishia na zile bastola zao
 
Nec hawajui hesabu za kujumlisha,labda wanapanga majeshi vizuri ili wawaazibu watakaoleta fuja after result yanaweza tangazwa ndivyo sivyo
 
kila niposoma hizi posti natamani 2015 iwe kesho tuwavue gamba bila kutumia kilainishi hadi watoke damu...
 
kina mwiguli wanalazimisha matokeo...tangu jana usiku wanalazimisha....kuna hujuma kubwa sana....lakini pia kuna tatizo lingine sysytem iko poa lakini wataalamu waliowekwa kujumlisha hawajui kuitumia......
 
Jamani mpira ni dakika 90! mpaka sasa hivi kutokana na taarifa ya habari saa 4 bado kura zinahesabiwa mnaotoa matokeo kua chama fulani kimeshinda wacheni upotoshaji tusubiri.
 
ccm wana mbinu nyingi wakiona wameshindwa wanachoma masanduku kama walivyofanya shinyanga huo ushindi dhahiri ni wa chadema vinginevyo wangeshatangaza. maharage pamoja na magadi yamegoma.
 
Hii NEC mbona aibu kweli kura ambazo si zaidi ya laki 2 zinachukua mwaka kuhesabu kweli wako makini hawa watu au ndio kasumba ya kuangalia kwanza upepo
 
Kwa kuwa gamba RA limevuliwa na ushindi mmepata mtaendelea kuvua na yale magamba mengine yaliyobaki?
 
Ndugu yangu kama haki ikicheleweshwa vurugu lazima! wasiwasi wangu naiona damu ikimwagika kwa mara nyingi tena Raisi yeyote ajaye katika nchi hii lazima amshitaki kikwete ni mwizi tena muuaji kabisa.
Wewe ulitaka wafanya fujo wapewe pipi? Rais anaekuja atakuwa wa CCM, kwahiyo toa upupu wako
 
Back
Top Bottom