It looks CCM wameshinda! Fine, wameshinda lakini wameshindwa vibaya sana, kutoka uchaguzi wa mwaka jana inaonekana wameporomoka kwa zaidi ya kura 9,000, viashiria vinazidi kuonyesha kuwa CCM haikubariki! Ni ushindi mwembamba sana kwa chama tawala na kwa nafasi hii napenda kuwapongeza sana CHADEMA kwa mafanikio makubwa waliyoyapata na wanayoendelea kuyapata nchini. CHADEMA tambueni kuwa tayari CCM wanauhakika kuwa mmekaribia kabisa kutwaa Dola na wanajaribu kila njia kuwadhoofisha. Now a way-forward, Fungua matawi ngazi zote za vijiji, kata, hadi wilayani, simika mizizi, hii nchi ni ya CHADEMA kwa sasa. Tunafurahia ushindi huu kwa CHADEMA kwa kuwa imejidhihirisha kuwa chama kina uwezo mkubwa wa kujieleza, kueleweka na sera safi. Ninasema tena Hongereni CHADEMA hamjachaguliwa ila mmeshinda! Ninyi ni washindi.
Hoa wehu, nani aliwaajiri tume ya uchaguzi???ndo mana tunasema tume iwe huru, maana Nape na Kingwa wanahisi tume ni moja ya Departments za CCM ndo mana wanahisi wanapower ya kuropoka utumbo. Muda si mrefu itatafsiriwa kuwa wanalazimisha ushindi, tuishie kuwabatiza makofi. Jibwaaaaaaaaaaaaaaaa weeeeeeeeee!!!!
Wa Jikoni kanipenyezea data mpya CDM wanaongoza tofauti ya kura 20,000 bado kata 3 ndio wanamalizia kuhesabu!
Sasa kama ubunge jimbo moja wanachelewa hivi je ya Urais nchi nzima si mwezi
Hesabu za Kujumlisha ni kitendawili kigumu wa magwiji wa tumeLeo ni siku ya pili tangu uchaguzi ufanyike hapo jana kwenye jimbo la igunga, tume imeshindwa kwani sababu zote zinazotolewa ni uzembe wa tume ya uchaguzi kutojipanga vizuri. sasa kama jimbo moja tu kutangaza matokeo inakuwa issue itakuwaje kwa uchaguzi mkuu? tume jipangeni bwana, igeni nchi nyingine zinafanya nini au zinatumia jitihada gani au maandalizi gani wanayafanya kutangaza matokeo mapema.
tambueni kwamba tume ya uchaguzi inapochelewa kutangaza matokeo mapema wananchi wanakosa imani na tume.some time vurugu zinazotokea kwa kuchelewa kutangaza matokeo zinasababishwa na ninyi wenyewe.
It looks CCM wameshinda! Fine, wameshinda lakini wameshindwa vibaya sana, kutoka uchaguzi wa mwaka jana inaonekana wameporomoka kwa zaidi ya kura 9,000, viashiria vinazidi kuonyesha kuwa CCM haikubariki! Ni ushindi mwembamba sana kwa chama tawala na kwa nafasi hii napenda kuwapongeza sana CHADEMA kwa mafanikio makubwa waliyoyapata na wanayoendelea kuyapata nchini. CHADEMA tambueni kuwa tayari CCM wanauhakika kuwa mmekaribia kabisa kutwaa Dola na wanajaribu kila njia kuwadhoofisha. Now a way-forward, Fungua matawi ngazi zote za vijiji, kata, hadi wilayani, simika mizizi, hii nchi ni ya CHADEMA kwa sasa. Tunafurahia ushindi huu kwa CHADEMA kwa kuwa imejidhihirisha kuwa chama kina uwezo mkubwa wa kujieleza, kueleweka na sera safi. Ninasema tena Hongereni CHADEMA hamjachaguliwa ila mmeshinda! Ninyi ni washindi
kwan dr slaa yupo wapi kutangaza naye yake?,ebwana kama noma na iwe noma hawa magamba wamezid ushenzi. Mi napatwa na hasira jaman CCM wanavyo2fanyia watz
Inawsemekana CDM bado wanahakiki kabla hawajakubali ama kukataa matokeo
unauhakika?? inamaana wameanza kuona dalili za kushindwa na wameanza kuchakachua matokeo! Mavi yao na km hali ndio hy br mapanga yatembee''maharage yamekataa kuiva na sasa tumeamua kutumia magadi ili yaive'' hii ilikuwa ni sms ya Mwigulu jana saa tano usiku......