Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Hivi Mbona Haji Manara hatulii ? Naona kamaliza vyombo vyote vya Habari Anafanya pre match analysis.
.....
Anachokifanya Manara Kisheria kinaitwa PREJUDICE, Yaani anatengeneza Maamuzi kabla Mchezo ili waamuzi watishike na Statement zake.
.....
Hapo naamini ndipo TFF inapolalamikiwa wanamuacha anaongea
Ila akiongea wa upande wa pili the same statement inakuwa Hoja ya Vikao. Atulie tu asubiri Game kesho iishe Ndio aongee
.....
Anachokifanya Manara Kisheria kinaitwa PREJUDICE, Yaani anatengeneza Maamuzi kabla Mchezo ili waamuzi watishike na Statement zake.
.....
Hapo naamini ndipo TFF inapolalamikiwa wanamuacha anaongea
Ila akiongea wa upande wa pili the same statement inakuwa Hoja ya Vikao. Atulie tu asubiri Game kesho iishe Ndio aongee