Kwa nini technology inayotumika kutuma signals za Channeli za TV isitumike kusambaza intaneti?

kali linux

JF-Expert Member
May 21, 2017
1,996
5,045
Hello bosses,

Niko hapa na-code huku naangalia Azamtv, kiukweli wana graphics kali sana. Sasa nikawa najiuliza hivi hio speed ya transmission inachezea kwenye mb/s ngapi kwa sababu nikisema niangalie video yenye quality hio kwa kutumia intaneti kwanza inabidi niwe na bando la kutosha na pia niwe sehemu ambapo kuna 4g ili video isikwame kwame.

Nikafikiria tena kwa nini hiohio technology isitumike kusambaza huduma ya intaneti? Mie sio mtaalamu wa issue za ving'amuzi na madish lkn kwa ku-analyze kwa juujuu naona kama vile inawezekana, sijui ni nini kinakwamisha hilo?

Kama ukisema gharama ndio inakwamisha sidhani kama ni kweli coz bundle mfano la azam halizidi 20K kwa mwezi?

Anyway kiufupi ni nini kinakwamisha hilo?


CHIEF MKWAWA dronedrake Mshana Jr
 
Naona ni mfumo wanaotumia ndio unakwamisha , kwa technolojia ya matangazo ya TV na Redio ni ONE-WAY Transmission (BROADCASTING).
Yaani sisi watazamaji tunapokea tu matangazo.
Okay It's a point

Lakini haiwezekani wakaifanya iwe full duplex(two way)? Kama haiwezekani basi kwa nini?

Kama technically inaweza kuboreshwa kdg ikawa full duplex nadhan itafaa kwa internet
 
kasi inayoweza kupatikana kwa teknolojia iliyopo sasa na tunayoitumia ni kubwa tu ya kutosha, ila kampuni za mawasiliano wanai-'cap' isizidi kiasi fulani.
nadhani unachosema ni kweli.

Hawa ISP wetu hata machine zao zikidetect unatumia intanet sana lkn una unlimited data bundle huwa wanaanza kulimit speed ukifikia kiasi fln cha matumizi.

Hii issue inanitokea mara kwa mara kwenye halotel.

Ila ndo business, they need profit. Coz wakipunguza speed wanakulimit data usage yako (kumbuka bundle lako linaexpire baada ya muda fln) so wao wanabaki kwenye advantage coz na wao wanalipia hizo data unazotumia
 
sijui ni nini kinakwamisha hilo?

mkuu, TV , upande wa TX (transmission) , ina 'broadcast' ie: wanarusha matangazo, so yapo mda wote hewani, ni wewe ku tune kwa channel uitakayo ( simplex ), end user haombi, hatumi request , ana tune frequency, mambo yanaonesha

haiwezi kua duplex, maana hakuna server upande wa TV-TX

TV inatumia routing fupi, mfumo wa kusafirisha data sio complex, em imagine , Transmitter > Minara > Receiver ( antenna ya mtumiaji ) - Kwa Terrestrial na Transmitter > Satellite > Receiver - Kwa Satellite

kwa Internet ni complex, data ianze kwa antena ya simu, Cell Site Antenna, BTS, BSC, MSC, haya iende kwa Gateway kuu ya ISP , iende kwa Tier1,2 na 3 ... mpaka ifike kwa Server ( assume server ipo Marekani ) hoi, hapo umetuma request tu

Aya jibu lirudi kupitia njia iyo iyo, routing/switching ni ndefu na complex, latency(ping) kubwa, data rate(bps) ndogo
 
mkuu, TV , upande wa TX (transmission) , ina 'broadcast' ie: wanarusha matangazo, so yapo mda wote hewani, ni wewe ku tune kwa channel uitakayo ( simplex ), end user haombi, hatumi request , ana tune frequency, mambo yanaonesha

haiwezi kua duplex, maana hakuna server upande wa TV-TX

TV inatumia routing fupi, mfumo wa kusafirisha data sio complex, em imagine , Transmitter > Minara > Receiver ( antenna ya mtumiaji ) - Kwa Terrestrial na Transmitter > Satellite > Receiver - Kwa Satellite

kwa Internet ni complex, data ianze kwa antena ya simu, Cell Site Antenna, BTS, BSC, MSC, haya iende kwa Gateway kuu ya ISP , iende kwa Tier1,2 na 3 ... mpaka ifike kwa Server ( assume server ipo Marekani ) hoi, hapo umetuma request tu

Aya jibu lirudi kupitia njia iyo iyo, routing/switching ni ndefu na complex, latency(ping) kubwa, data rate(bps) ndogo
Daaah

Nimekupata mkuu
 
Hello bosses,

Niko hapa na-code huku naangalia Azamtv, kiukweli wana graphics kali sana. Sasa nikawa najiuliza hivi hio speed ya transmission inachezea kwenye mb/s ngapi kwa sababu nikisema niangalie video yenye quality hio kwa kutumia intaneti kwanza inabidi niwe na bando la kutosha na pia niwe sehemu ambapo kuna 4g ili video isikwame kwame.

Nikafikiria tena kwa nini hiohio technology isitumike kusambaza huduma ya intaneti? Mie sio mtaalamu wa issue za ving'amuzi na madish lkn kwa ku-analyze kwa juujuu naona kama vile inawezekana, sijui ni nini kinakwamisha hilo?

Kama ukisema gharama ndio inakwamisha sidhani kama ni kweli coz bundle mfano la azam halizidi 20K kwa mwezi?

Anyway kiufupi ni nini kinakwamisha hilo?


CHIEF MKWAWA dronedrake Mshana Jr

Ni suala la gharama tu , wenzetu nchi za kwanza WiFi kila sehem na ziko kasi kuliko hii mitandao yetu . Soma WiFi inavyopatikana ulaya na usa utaona ni jambo la kawaida kabisa issue ni gharama.
 
Hello bosses,

Niko hapa na-code huku naangalia Azamtv, kiukweli wana graphics kali sana. Sasa nikawa najiuliza hivi hio speed ya transmission inachezea kwenye mb/s ngapi kwa sababu nikisema niangalie video yenye quality hio kwa kutumia intaneti kwanza inabidi niwe na bando la kutosha na pia niwe sehemu ambapo kuna 4g ili video isikwame kwame.

Nikafikiria tena kwa nini hiohio technology isitumike kusambaza huduma ya intaneti? Mie sio mtaalamu wa issue za ving'amuzi na madish lkn kwa ku-analyze kwa juujuu naona kama vile inawezekana, sijui ni nini kinakwamisha hilo?

Kama ukisema gharama ndio inakwamisha sidhani kama ni kweli coz bundle mfano la azam halizidi 20K kwa mwezi?

Anyway kiufupi ni nini kinakwamisha hilo?


CHIEF MKWAWA dronedrake Mshana Jr
Fanya mchakato tupate code hizo za Azam
 
Hello bosses,

Niko hapa na-code huku naangalia Azamtv, kiukweli wana graphics kali sana. Sasa nikawa najiuliza hivi hio speed ya transmission inachezea kwenye mb/s ngapi kwa sababu nikisema niangalie video yenye quality hio kwa kutumia intaneti kwanza inabidi niwe na bando la kutosha na pia niwe sehemu ambapo kuna 4g ili video isikwame kwame.

Nikafikiria tena kwa nini hiohio technology isitumike kusambaza huduma ya intaneti? Mie sio mtaalamu wa issue za ving'amuzi na madish lkn kwa ku-analyze kwa juujuu naona kama vile inawezekana, sijui ni nini kinakwamisha hilo?

Kama ukisema gharama ndio inakwamisha sidhani kama ni kweli coz bundle mfano la azam halizidi 20K kwa mwezi?

Anyway kiufupi ni nini kinakwamisha hilo?


CHIEF MKWAWA dronedrake Mshana Jr
Mbona mkuu siku hizi Satelite hizo hizo zinazorusha TV zinarusha na Internet? Tatizo la satelite ni ping tu.

Hao ni Eutelsat ambao azam anawatumia kurusha matangazo

Na hii issue haijaanza karibuni, toka nipo mdogo satelite zinarusha internet.
 
Na Pia ukiangalia namna Nyengine za Kurusha matangazo ya TV kama hizi Antena, pia Tayari siku hizi Zinatumika na Internet.

Mfano Azam alishinda Bid ya band 700mhz(UHF) , kikawaida hii band ni Ya TV ila kwenye 4g na 5g inatumika pia kurusha Internet. Kama umeshatumia Decoder ya Antena ya startimes utakuwa umesha isearch sana.
 
Mbona mkuu siku hizi Satelite hizo hizo zinazorusha TV zinarusha na Internet? Tatizo la satelite ni ping tu.

Hao ni Eutelsat ambao azam anawatumia kurusha matangazo

Na hii issue haijaanza karibuni, toka nipo mdogo satelite zinarusha internet.
Nimewasoma hao konnect naona wanafanya exactly nilichodhania hakiwezekani.

Project yao inataka kufanana kidogo na StarLink ya Elon Musk,

Lakini bado nna swali. Hapo naona wanatumia Eutelsat, kama sijakosea yale madish ya zamani tulokuwa tunatumia kabla ya ving'amuzi kuja yalikuwa yanaweza kudaka signals za Eutelsat pamoja na intelsat, Je inawezekana kumodify hayo madish kupata access ya internet?

Pia vingamuzi na antennae zake za sasa zinaweza kufanyiwa modification kuweza kudaka internet?
 
Nimewasoma hao konnect naona wanafanya exactly nilichodhania hakiwezekani.

Project yao inataka kufanana kidogo na neuralink ya Elon Musk,

Lakini bado nna swali. Hapo naona wanatumia Eutelsat, kama sijakosea yale madish ya zamani tulokuwa tunatumia kabla ya ving'amuzi kuja yalikuwa yanaweza kudaka signals za Eutelsat pamoja na intelsat, Je inawezekana kumodify hayo madish kupata access ya internet?

Pia vingamuzi na antennae zake za sasa zinaweza kufanyiwa modification kuweza kudaka internet?
Mkuu siku zote dishi hilo hilo la TV unaweza tumia kuwa Dishi la Internet.

Sema internet inatumia Ku ama Ka, wakati madishi ya kawaida ni C na Ku. Hivyo Ku ipo shared na madishi ya kawaida na internet, kinachobadilika ni ile receiver tu.

Pia kulikuwa na jamaa walianzisha free internet ya satelite sema naona wapo kimya sana sijui ilikuwa ni promo za bure? Wanajiita Quika

Sijafuatilia sana exactly kitu gani unabadilisha kwenye dish la fta kupata internet, ila ilikuwa ni project yangu ya kujaribu hao quika wakilaunch hio satelite, sema tokea 2018 hadi leo kimya.
 
Mkuu siku zote dishi hilo hilo la TV unaweza tumia kuwa Dishi la Internet.

Sema internet inatumia Ku ama Ka, wakati madishi ya kawaida ni C na Ku. Hivyo Ku ipo shared na madishi ya kawaida na internet, kinachobadilika ni ile receiver tu.

Pia kulikuwa na jamaa walianzisha free internet ya satelite sema naona wapo kimya sana sijui ilikuwa ni promo za bure? Wanajiita Quika

Sijafuatilia sana exactly kitu gani unabadilisha kwenye dish la fta kupata internet, ila ilikuwa ni project yangu ya kujaribu hao quika wakilaunch hio satelite, sema tokea 2018 hadi leo kimya.
Daaaah, I see some new adventure here.
 
Moja kwa moja naomba nijibu swali kwa lugha rahisi au nyepesi , swala hili haliwezekani kwa sababu kadha

  • Mawasiliano ya satellite yanafanyika kwa njia ya broadcast na multicast, katika njia zote hizi satellite pekee ndio hutuma signal TV zenyewe hufanya kupokea tu, hii inatofautiana na mawasiliano katika internet ni back and forth japokuwa internet pia inafanya broadcast na multicast, hii inamaana gani katika internet unapotuma request lazima kuwe na response provided kwamba unicast na multicast hazitumiki hivyo basi ni kusema kwenye internet kila mtu ni source na ni destination japokuwa sio kila wakati lakini mawasiliano mengi ya internet yanafanyika hivyo
  • Mawasiliano ya sattelite kama TV yanafanyika baina ya point mbili ambazo zipo katika fixed position hii inamaanisha kwamba kusudi kupata strong signal inabidi receiver yako kuwa aligned na sattelite katika special angle then inakuwa fixed , dunia inapokuwa inazunguka na satellite pia inakuwa inazunguka pamoja na dunia hivyo ina-maintain the same position and angle, lakini katika mawasiliano ya internet node huwa zinakuwa zina-move mfano mtu anatembea huku anatumia huduma kama vile youtube au facetime hivyo haiwezekani ku-maintain the same angel alignment na satellite
  • Sababu nyingine watu wanabidi kutembea na receivers mfano simu yako itumie receiver ambayo itakuwa juu ya kichwa chako, alafu inabidi kuhakikisha kwamba hiyo receiver haiwezi kuwa blocked na majengo milima na vinginevyo. Pia kipindi cha mvua kutakuwa na shida ya network.
 
Back
Top Bottom