Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Kuna wakati siwaelewi kabisa wanasiasa. Kwa hivi wanasiasa wanaongelea kwamba na kupiga porojo nyingi sana juu ya SADC regional integration, lakini unakuta mambo ya msingi kabisa kama uhuru wa kutembeleana bado hawajakamilisha. Sasa unawezaje kuwa na akili ya kuongelea kumwingiza mwanao mashindano ya mbio wakati bado anatambaa hata kutembea hajaanza?
Ni kwa nini hadi leo Tanzania tunatakiwa kuwa na visa kwenda baadhi ya nchi za SADC? Hakuna policy ya SADC inayosema nchi wanachama wa SADC hazitakuwa na visa katika wananchi wake kutemebeleana? Na kwa nini nchi kama Zambia na Swaziland wanatoa siku 30 tu badala ya 90 kama nchi nyingine za SADC? Ningependa kupata majimbu toka Mambo ya Nje au yeyote anayefahamu juu ya hili.
Hadi sasa, suala la visa kwa Watanzania kwa nchi za SADC liko kama ifuatavyo;
Ni kwa nini hadi leo Tanzania tunatakiwa kuwa na visa kwenda baadhi ya nchi za SADC? Hakuna policy ya SADC inayosema nchi wanachama wa SADC hazitakuwa na visa katika wananchi wake kutemebeleana? Na kwa nini nchi kama Zambia na Swaziland wanatoa siku 30 tu badala ya 90 kama nchi nyingine za SADC? Ningependa kupata majimbu toka Mambo ya Nje au yeyote anayefahamu juu ya hili.
Hadi sasa, suala la visa kwa Watanzania kwa nchi za SADC liko kama ifuatavyo;