The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Kwa nini huduma nyingi za kisasa kama YouTube premium, blue twitter nk hazipatikani Tanzania.
Kwa mfano natumia YouTube premium ila natumia address ya Nigeria hivyo nalipa Naira 1000 kwa mwezi na awali nilikua natumia ya UAE, gharama ilikua kubwa kidogo kuliko Nigeria.
Sasa natumia Twitter Blue tick, nimetumia address ya USA.
Kuna apps kibao na features kibao natumia ila Tanzania hazipatikani hivyo lazima nitumie anuani ya nchi nyingine.
Naomba kuuliza, kwa features nyingi za kisasa hazipatikani Tanzania wakati nchi nyingine zinapatikana.
Kwa mfano natumia YouTube premium ila natumia address ya Nigeria hivyo nalipa Naira 1000 kwa mwezi na awali nilikua natumia ya UAE, gharama ilikua kubwa kidogo kuliko Nigeria.
Sasa natumia Twitter Blue tick, nimetumia address ya USA.
Kuna apps kibao na features kibao natumia ila Tanzania hazipatikani hivyo lazima nitumie anuani ya nchi nyingine.
Naomba kuuliza, kwa features nyingi za kisasa hazipatikani Tanzania wakati nchi nyingine zinapatikana.