Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Mimeingiwa na utata kwamba siku hizi nne au Tano television ya star, TBC1, ATN, Channel ten and Redio free africa wameacha kusoma vichwa vya habari katika gazeti la Tanzania daima. Walianza na Mwanahalisi. Je, Sababu nini? Je, kuna malipo ambayo hupata toka katika magazeti wanayosoma na hivi sasa Tanzania Daima haiwalipi?
anybody with uput please let me know!!!!
anybody with uput please let me know!!!!