kuberwa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 570
- 125
nilisoma kwenye web flan siikumbuki vizuri ikisema kuwa magazeti yamechangia kiasi fulani kwa chama tawala kuangukia pua kwenye uchaguzi mkuu uliopita kwa hiyo suluhisho ni kulipiga stop kuruka radio free africa ambayo ndio ina mtandao mkubwa.
thanks, it might be a reason