dropingcoco
Senior Member
- Jun 21, 2008
- 124
- 11
Ingekuwa fursa nzuri sana kwa ile mikoa yote Slaa aliyoshinda awe rais na mkwere nae awe kule kwake, ili kupunguza malumbano, naona tume inapata muda mgumu sana wa kuchakachua ilhali kuna shortcut. Nadhani watanzania hatutakuwa na pingamizi katika hilo