Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,608
- 1,743

Unajua kwa nini operesheni hii ilifanywa hapaTanzania?
Serikali imeshahisi tunakoelekea ni kubaya siku wananchi wakishindwa kuvumilia ubwebwaji wa mafisadi itakuwa kazi ,hivyo ni bora kuanza kukusanya silaha walizonazo wananchi hawa Je hili litawasaidia kuvunja nguvu za uma ?