kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 74
mbona sitemptiki! wanaume wa watu wakuwa deal ndio maana kuna infidelity! hata wangu najua anachunwa somewhere!
Kwa hiyo ina maana na wewe unachuna wa wenzio, sio??? Uzinzi ni dhambi mbaya sana na imekuwa sababu ya wengi kuharibu familia zao. Sitegemei wanawake ku-intertain hii kitu kwa kukubali kuwa ni sawa tu kwa waume zao "kuchunwa".