Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Rasilimali zetu zinazosimamiwa na serikali ya CCM hasa wanyama wetu, mara nyingi wanamalizwa na maharamia wa Kisomalia. Tembo wengi Serengeti wameuwawa na maharamia wa kisomali. Faru nao wamewindwa na kuuwawa na hao hao maharamia wa kisomamali wanaoingia mbugani kupitia mkoa wa Arusha na Mara. Je ni kwa nini serikali ya CCM imefumbia macho hawa majangili wakati wanamaliza rasilimali zetu na kuleta hofu kubwa kwa wakazi maeneo ya mbugani ? hii serkali ina mikakati gani kutokomesha hawa watu kuingia kwenye Mbuga zetu na silaa nzito za kivita?