Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah
Kwanini sabuni inaua kirusi?Alcohol ni solvent yenye uwezo wa haki ya juu ya kupenya kwenye seli za viumbe vidogo vidogo. Kwa kirusi alcohol hupenya kwenye lile lipid coat ambayo ndiyo hatari zaidi kwa kirusi. Ikipenya hilo koti la fati, linayeyuka au kuvunjika. Hilo koti likivunjika, kirusi kinakufa haraka kutokana na hali ya mazingira ya nje, chemical and mechanical.
Kikubwa ninachijiuliza kunashindikana vipi kuweza kutengeneza mazingira ambayo yanaweza kuzuia virus kuleta madhara ndani ya mwili wa binadamu as long as structure yake na living mechanism yake tayari inaeleweka... Hebu wanasayansi mtusaidieAlcohol ni solvent yenye uwezo wa haki ya juu ya kupenya kwenye seli za viumbe vidogo vidogo. Kwa kirusi alcohol hupenya kwenye lile lipid coat ambayo ndiyo hatari zaidi kwa kirusi. Ikipenya hilo koti la fati, linayeyuka au kuvunjika. Hilo koti likivunjika, kirusi kinakufa haraka kutokana na hali ya mazingira ya nje, chemical and mechanical.
Kikubwa ninachijiuliza kunashindikana vipi kuweza kutengeneza mazingira ambayo yanaweza kuzuia virus kuleta madhara ndani ya mwili wa binadamu as long as structure yake na living mechanism yake tayari inaeleweka... Hebu wanasayansi mtusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiingia ndani ya mwili kirusi kina kuwa sehemu ya living cell. Hivyo kuua kirusi na lazima uuwe na chembe hai ...za mgonjwa ambapo chembe hai zikifa na mgonjwa anakufa
Kirusi kina uwezo wa kuingia kwenye seli za mwili. Ili uue inabidi uue na seli na hivyo utamuua na hicho kiumbe. Ndio maana ni ngumu kupata tiba. Na kama unafuatilia, utakubaliana nami kwamba kinachotafutwa kwa sasa ni chanjo. Sio tiba.Kikubwa ninachijiuliza kunashindikana vipi kuweza kutengeneza mazingira ambayo yanaweza kuzuia virus kuleta madhara ndani ya mwili wa binadamu as long as structure yake na living mechanism yake tayari inaeleweka... Hebu wanasayansi mtusaidie
Sent using Jamii Forums mobile app