Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Raisi wangu kwa nin unanipa msongo wa mawazo kiasi hiki? Kila kukicha matatizo yanazid,hutaki kutafuta ufumbuz mathalan MGOMO WA MADAKTARI,RUSHWA, AJIRA,na mambo mengne mengi yanayotia kichefuchefu kama hayo.Kwa uozo wote huo mimi kama mzalendo wa nchi hii huoni kama utaniua kwa pressure jaman??
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuwasilisha.