Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Mkataba ukiisha sio lazima kuongezwa!
Ni kweli mkataba ukiisha sio lazima kuongezwa lakini mbona wanaonyimwa nafasi za kurenew ni wanaotoka upinzani tu?mbona wanotumikia chama chenu cha mafisadi hawanyimwi?acha ushabiki....ebo!huna hata ubinadamu.