Kwa nini Point Tatu za Mezani Zinawaumiza CCM?

Nyamsusa JB

JF-Expert Member
Jul 9, 2015
568
1,562
Kujito kwa vyama Pinzani katika Uchaguzi ujao wa Wenyeviti wa serikali za Mitaa na Wajumbe wake ni sawa na CCM kupewa point 3 za Mezani kwa Timu Pinzani kutokufika Uwanjani.

Nilitegemea hili liifurahishe CCM kwa kujichukulia Ushindi wa Point 3 mapema tena bila jasho lakini hali anaonekana tofauti kabisa, CCM hawakulifurahia jambo hilo.

Je ni kweli hawapendi Ushindi bila Jasho?

Je Kuna litakalo wapungukia CCM kwa Wapinzani kutoshiriki Uchaguzi?

Je ni kweli CCM wanapenda kushindana kweli kwa njia ya Uchaguzi kwa Kura?

Haya ni baadhi ya Maswali nayojiuliza na sijaweza kuyajibu. Napenda kuwashilikisha nyinyi ndugu zangu naweza kupata mwanga zaidi.

Kulalamika huku kwa CCM kwa Wapinzani kujitoa kwenye Uchaguzi ujao, Je ni kilio cha kweli au ndo kile kilio cha Mamba akitokwa na Machozi pindi alapo Windo lake?
 
Ccm wanatuona Wananchi ni wajinga
Acha wapambane wenyewe
IMG_20191004_103744.jpg
 
Chama kinaonekana kuishiwa mbinu na kuaanza kutumia mabavu ili kubaki madarakani.

Kwanza waliwaita vyama vyenye mawazo mbadala kuwa ni vyama vya upinzani

Pili wanatumia uchache wao na kuiita vyama vya ukoo, au ukabila

Tatu wanatumia Ukanda

Nne Wakatumia Udini

Tano wakavipa ruzuku na kuviita SACCOS

Sita Wakasema Wanatumia na mabeberu na wapinga maendeleo

Sasa wameona watumie njia mnayo iona
 
Mi nadhni jambo la msingi nikaangalia maswala ya maendeleo serikali inayo fanya kuliko kuangalia hao wanaolazimisha kupata nafasi wakati hawana vigezo hili swala la kujiuliza kwanini wananataka madaraka Sana Kwa nguvu?nidhairi Wana maslahi yao binafsi.
 
Mi nadhni jambo la msingi nikaangalia maswala ya maendeleo serikali inayo fanya kuliko kuangalia hao wanaolazimisha kupata nafasi wakati hawana vigezo hili swala la kujiuliza kwanini wananataka madaraka Sana Kwa nguvu?nidhairi Wana maslahi yao binafsi.

Nani amekuambia hawana vigezo?
 
Kujito kwa vyama Pinzani katika Uchaguzi ujao wa Wenyeviti wa serikali za Mitaa na Wajumbe wake ni sawa na CCM kupewa point 3 za Mezani kwa Timu Pinzani kutokufika Uwanjani.

Nilitegemea hili liifurahishe CCM kwa kujichukulia Ushindi wa Point 3 mapema tena bila jasho lakini hali anaonekana tofauti kabisa, CCM hawakulifurahia jambo hilo.

Je ni kweli hawapendi Ushindi bila Jasho?

Je Kuna litakalo wapungukia CCM kwa Wapinzani kutoshiriki Uchaguzi?

Je ni kweli CCM wanapenda kushindana kweli kwa njia ya Uchaguzi kwa Kura?

Haya ni baadhi ya Maswali nayojiuliza na sijaweza kuyajibu. Napenda kuwashilikisha nyinyi ndugu zangu naweza kupata mwanga zaidi.

Kulalamika huku kwa CCM kwa Wapinzani kujitoa kwenye Uchaguzi ujao, Je ni kilio cha kweli au ndo kile kilio cha Mamba akitokwa na Machozi pindi alapo Windo lake?
Lipumba kasema kutafuta haki kwenye sanduku la kura ni sawa na kutafuta bikra wodi ya wazazi
 
Katika uzinduzi wa kitabu cha raisi mstafu ndugu BW Mkapa alitoa jumbe mbili. Kwanza alikisema chama chake kujisahau sana kana kwamba hakuna upinzani wakati upinzani upo na unakua kwa kasi kubwa sana na pia raisi mstafu alifikia mpaka kusema kuwepo na tume huru ya uchaguzi ambalo pia ni jambo jema kwa mustakabazi wa afya ya demekrasia katika nchi yetu,ili jambo la kwanza ndio wamelibeba kwa nguvu sana wapinzani na kulizungumzia,lakini jambo la pili aliwazungumzia wapinzani kwa namna wanavyo jisahau kwa kufanya mambo kwa namna wanavyotaka,Kutumia maslahi binafsi kuliko maslahi ya taifa. Wanatumia muda mwingi sana kwenda njee ya nchi kuomba misaada ya kuendesha mikutano yao ya kisiasa,kufanya maandamano na vurugu nyingine za kudai demokrasia bila kujali haki za raia.
Jamani wapinzani mkiamua kubeba bebeni yote.
 
Back
Top Bottom