Kwa nini ofisi zote za ma-RPC na OCD mezani kuna kitabu cha Ilani ya CCM na hakuna PGO?

Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
Ukiona na kusikia neno Policcm hiyo ndio maana yake; watu walishafanya study wakaligundua Hilo!
 
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
Kutumia PGO, professionalism (weledi), matumizi ya akili na busara inahitajika. Lakini kutumia ilani ya CCM huhitaji weledi/busara/akili bali ni kuimba CCM mbele kwa mbele, hata kama hatuoni huko mbele tunaangukia wapi.
 
tatizo likitabu la PGO imeandikwa kiingeleza na sisi wengi ni wa fom foo "C"
 
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
Polisi wetu wanatekeleza matakwa ya CCM, teka, tesa, piga, nyima chakula, fungia kabatini, badilisha jina, nk. Hawetekelezi PGO kwa sababu haiwapi vyeo au fedha.
 
Polisi wetu wanatekeleza matakwa ya CCM, teka, tesa, piga, nyima chakula, fungia kabatini, badilisha jina, nk. Hawetekelezi PGO kwa sababu haiwapi vyeo au fedha.
Kitendo cha kubadilisha jina la mtu ni hatari sana na kinatisha! Inawezekana wengi wamepotezwa kwa kubadilishiwa majina!
 
Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf.

Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa hawapaswi kukariri Ilani ya CCM? Je hawafahamu PGO ndiyo itawafanya kuonekana mahiri katika majukumu yao na si Ilani ya CCM? Je hawafahamu kwa kutumia PGO kila wakati watatenda kazi zao kwa mujibu wa sheria na kutoa haki kwa raia?
jibu hili hapa
JamiiForums-1554777203_640x640.jpg
 
Back
Top Bottom