Bowbow
JF-Expert Member
- Oct 20, 2007
- 541
- 31
WanaJF
Hapo siku za nyuma kulikua na topic ndefu sana kuhusu ukabila na makabila mengi yalichambuliwa kwa kila namna lakini bado hakuweza kupatikana muafaka kwamba nani ni mkabila.
Lengo la mada hii sio kurudia maelezo yaliyotolewa kwenye ile mada iliyopita, la hasha ni kutaka kuchambua dhana nzima KWA NINI TUNAFIKIRI WACHAGA NI WAKABILA? Sio kabila lingine Please
Maswali ninayo jiuliza na nadhani ndio iwe guidance ya mada yetu ni haya:
1. Ukabila ni nini na lini na wapi ukabila Umeanzia?
2. Ni lini tulianza kufikiria Wachaga ni wakabila?
3. Ni nini kiashirio kwamba kabila fulani ni wakabila?
4. Je, ukabila ni tabia ya mtu ama kikundi cha watu?
5. Ni vipimo gani tunavyotumia kuelezea, kupima na hata kuendeleza ukabila?
6. Je ukabila ni kitu ambacho ni endelevu(sustainable)?
7. Je kuna faida na hasara gani (kwa wachaga na kwa wasio wachaga) kuwa mkabila?
[B]NOTE[/B] Sio lazima uchangie hii mada kama hutaweza kujibu kwa hoja bila jazba. Ni bora hata wachangie watu 10 kitu chenye maana kuliko 100 wenye jazba.
Nimeshawishika kutoa hoja hii baada ya kuona kuna harufu sio nzuri kwenye mmojawapo ya mjadala unaoendelea hivi sasa.
Karibuni kwa maoni,
Mimi ni chotara wa kichaga nahitaji kuelimishwa kwenye hili na sina jazba
Hapo siku za nyuma kulikua na topic ndefu sana kuhusu ukabila na makabila mengi yalichambuliwa kwa kila namna lakini bado hakuweza kupatikana muafaka kwamba nani ni mkabila.
Lengo la mada hii sio kurudia maelezo yaliyotolewa kwenye ile mada iliyopita, la hasha ni kutaka kuchambua dhana nzima KWA NINI TUNAFIKIRI WACHAGA NI WAKABILA? Sio kabila lingine Please
Maswali ninayo jiuliza na nadhani ndio iwe guidance ya mada yetu ni haya:
1. Ukabila ni nini na lini na wapi ukabila Umeanzia?
2. Ni lini tulianza kufikiria Wachaga ni wakabila?
3. Ni nini kiashirio kwamba kabila fulani ni wakabila?
4. Je, ukabila ni tabia ya mtu ama kikundi cha watu?
5. Ni vipimo gani tunavyotumia kuelezea, kupima na hata kuendeleza ukabila?
6. Je ukabila ni kitu ambacho ni endelevu(sustainable)?
7. Je kuna faida na hasara gani (kwa wachaga na kwa wasio wachaga) kuwa mkabila?
[B]NOTE[/B] Sio lazima uchangie hii mada kama hutaweza kujibu kwa hoja bila jazba. Ni bora hata wachangie watu 10 kitu chenye maana kuliko 100 wenye jazba.
Nimeshawishika kutoa hoja hii baada ya kuona kuna harufu sio nzuri kwenye mmojawapo ya mjadala unaoendelea hivi sasa.
Karibuni kwa maoni,
Mimi ni chotara wa kichaga nahitaji kuelimishwa kwenye hili na sina jazba