Unajua aina ya gari inayoongoza afrika mashariki kwa kubonyea/mageraha mbavuni na nyuma
Jibu ni gari ndogo aina ya starlet je unajua ni kwanini?
Hebu tupe maoni yako.
Kwa sababu kutokana na kutokuwa na bara bara za mjini.. Bara bara zetu zimejaa mashimo kama ilivyokuwa Iraq baada ya vita. Hivyo magari mengi tunayotumia ni 4 x 4 wheel drive ambayo yako juu na hivyo starlet kuwa chini kama toy..hivyo wanagonga kama wanavyotaka..
Na kutokana na kutokuwepo kwa sheria kutokana na ufisadi.. Madereva wetu wameweka Ngao kwenye 4 x 4 kama vile wako vitani hivyo hawajali magari madogo kama starlet. Hata kama watakugonga..madereva wetu wanajua wataoa Rushwa na kuwa nje.. Na kama mkosaji ni mzungu.. Hawana haja ya kutoa rushwa.. Wakiongea lugha ya kigeni tu..Matraffic wataogopa na kuwaachia..kwani matraffic wengi ni vilaza na wameingia kwa rushwa huko polisi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.