Kwa nini ni lazima CCM iangushwe katika uchaguzi wa mwaka 2015

mechard Rwizile

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
1,571
873
Watanzania kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini baada ya uhuru walielewa kuwa uongozi wao ulitokana na wao wenyewe. Viongozi walikuwa ni sehemu yao kwa kila jambo. Kwa mfano; watoto wote walisoma shule za aina moja na kupata huduma sawa bila ya kujali vyeo vya baba na mama zao.Walipata matibabu katika hospitali zile zile na hadi mwishoni mwa miaka ya themanini kila aliyeugua alipata dawa sitahiki kutoka katika mfumo uliokuwepo. Ninakumbuka nilikuwa na matatizo ya miguu mwaka 1977, niliandikiwa rufaa kwenda hospitali ya Bugando nikitokea Arusha. Niliandaliwa safari na Mwl. Mkuu wa shule yangu ya Ilboru kama ambavyo angekuwa anamuandalia mwanae. Hakutumia fedha zake ila za walipa kodi zilizokuwa zinaletwa na serikali mashuleni. Nilipomaliza masomo ya kidato cha nne, nilienda kukaa nyumbani nikisubiri kupangiwa kazi. Muda ulipotimia niletewa barua ya kupangiwa kazi na kupokelewa kama ilivyopangwa bila ya kukutana na kubembeleza mtu yeyote. Katika mazingira kama haya, ni kwanini mtu asiuamini uongozi uliopo madarakani?

Watu watakimbilia kusema kuwa wasomi walikuwa wachache kulinganisha na wasomi wa leo, ni kweli. Na kweli tupu. Lakini ukweli mwingine ni kwamba, hakuna eneo tunaweza kusema ajira zilizopo zinatosheleza mahitaji. Hadi mwishoni mwaka 2011, mahitaji wa walimu ni makubwa kuliko walimu waliopo. Tuanhitaji walimu wengi zaidi ya waliopo. Tumeshindwa kuwaajiri wote kwa sababu hatuna fedha ya kuwalipa mishahara na stahili zao. Katika afya, watumishi waliopo ni chini ya asilimia 40% ya mahitaji, Ulinzi na usalama, askari wetu walio na ajira ni chini ya nusu ya mahitaji. Kwa mifano hiyo michache ni dhahiri kuwa wasomi wetu wanahitajika sana leo kama ilivyokuwa zamani.

Tutapata wapi fedha za kulipa waajiriwa wapya kama tumeuza viwanda vya nguo kwa waliobadili matumizi na kuuza mitambo ya kutengeneza nguo kama vyuma chakavu na kufanya majengo yawe maghala ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nje ya nchi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya, kama faida inayopatikana kutokana na dhahabu inayochimbwa hapa nchini ni mishahara tu wanyolipwa wazawa wache walioajiriwa na migodi ya dhahabu, kana kwamba dhahabu ghafi sio bidhaa ya kuuza?Yaani haina thamani yeyote! Tutapata wapi fedha kama kila kiongozi anona fahari ya kumiliki mali zisizokuwa na maelezo? Tutapata wapi fedha kama wafanyabiashara wanatanguliza bendera za CCM na sare za kijani kama mbadala wa kulipa kodi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya kama viogozi wetu wanajiongezea posho kwa madai ya kuwagawia wapiga kura wao? Orodha ni ndefu.

CCM haina masikio ya kusikia shida za watu, haoni matatizo ya watu, haina mpango wakutaka kujua matatizo ya msingi ya watu ndio maana wanawagawia wapiga kura kofia za njano, T shirt za kijani na kanga za mchanganyiko wa kijani na manjano. CCM inachosikitisha zaidi ni yale majimbo ya "sera zetu zinakubalika kwa wananchi" wakati wakijua wameiba kura au wamehujumu upigaji wa kura. Maadui wa CCM ni wale wasema ukweli, wapenda haki na usawa, hasa wale ambao uadilifu wao ni wa kuigwa! Hiki ni chama gani sasa?

2015 ndio mwaka wa ukombozi, kujiandikisha, kupiga kura, kuwashawishi ndugu na jamaa kujiandikisha na kupiga kura na kulinda kura hadi mshindi atakapotanganzwa. CCM wanaweza kuiba na kuhujumu kura zisizozidi milioni tano. Kama mwaka 2015, wapiga kura milioni 25 watajitokeza kupiga kura na kura zikalindwa, hawatakuwa na lao. Hapo ndipo tutakaa chini na kuandika katiba bora ya kututoa hapa tulipo.

Shime watanzania tutoe mchango wetu katika hili kwa maarifa ya hali ya juu na tuanze sasa. Au mnadhani nisemacho si sahihi?
 
Watanzania kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini baada ya uhuru walielewa kuwa uongozi wao ulitokana na wao wenyewe. Viongozi walikuwa ni sehemu yao kwa kila jambo. Kwa mfano; watoto wote walisoma shule za aina moja na kupata huduma sawa bila ya kujali vyeo vya baba na mama zao.Walipata matibabu katika hospitali zile zile na hadi mwishoni mwa miaka ya themanini kila aliyeugua alipata dawa sitahiki kutoka katika mfumo uliokuwepo. Ninakumbuka nilikuwa na matatizo ya miguu mwaka 1977, niliandikiwa rufaa kwenda hospitali ya Bugando nikitokea Arusha. Niliandaliwa safari na Mwl. Mkuu wa shule yangu ya Ilboru kama ambavyo angekuwa anamuandalia mwanae. Hakutumia fedha zake ila za walipa kodi zilizokuwa zinaletwa na serikali mashuleni. Nilipomaliza masomo ya kidato cha nne, nilienda kukaa nyumbani nikisubiri kupangiwa kazi. Muda ulipotimia niletewa barua ya kupangiwa kazi na kupokelewa kama ilivyopangwa bila ya kukutana na kubembeleza mtu yeyote. Katika mazingira kama haya, ni kwanini mtu asiuamini uongozi uliopo madarakani?

Watu watakimbilia kusema kuwa wasomi walikuwa wachache kulinganisha na wasomi wa leo, ni kweli. Na kweli tupu. Lakini ukweli mwingine ni kwamba, hakuna eneo tunaweza kusema ajira zilizopo zinatosheleza mahitaji. Hadi mwishoni mwaka 2011, mahitaji wa walimu ni makubwa kuliko walimu waliopo. Tuanhitaji walimu wengi zaidi ya waliopo. Tumeshindwa kuwaajiri wote kwa sababu hatuna fedha ya kuwalipa mishahara na stahili zao. Katika afya, watumishi waliopo ni chini ya asilimia 40% ya mahitaji, Ulinzi na usalama, askari wetu walio na ajira ni chini ya nusu ya mahitaji. Kwa mifano hiyo michache ni dhahiri kuwa wasomi wetu wanahitajika sana leo kama ilivyokuwa zamani.

Tutapata wapi fedha za kulipa waajiriwa wapya kama tumeuza viwanda vya nguo kwa waliobadili matumizi na kuuza mitambo ya kutengeneza nguo kama vyuma chakavu na kufanya majengo yawe maghala ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nje ya nchi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya, kama faida inayopatikana kutokana na dhahabu inayochimbwa hapa nchini ni mishahara tu wanyolipwa wazawa wache walioajiriwa na migodi ya dhahabu, kana kwamba dhahabu ghafi sio bidhaa ya kuuza?Yaani haina thamani yeyote! Tutapata wapi fedha kama kila kiongozi anona fahari ya kumiliki mali zisizokuwa na maelezo? Tutapata wapi fedha kama wafanyabiashara wanatanguliza bendera za CCM na sare za kijani kama mbadala wa kulipa kodi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya kama viogozi wetu wanajiongezea posho kwa madai ya kuwagawia wapiga kura wao? Orodha ni ndefu.

CCM haina masikio ya kusikia shida za watu, haoni matatizo ya watu, haina mpango wakutaka kujua matatizo ya msingi ya watu ndio maana wanawagawia wapiga kura kofia za njano, T shirt za kijani na kanga za mchanganyiko wa kijani na manjano. CCM inachosikitisha zaidi ni yale majimbo ya "sera zetu zinakubalika kwa wananchi" wakati wakijua wameiba kura au wamehujumu upigaji wa kura. Maadui wa CCM ni wale wasema ukweli, wapenda haki na usawa, hasa wale ambao uadilifu wao ni wa kuigwa! Hiki ni chama gani sasa?

2015 ndio mwaka wa ukombozi, kujiandikisha, kupiga kura, kuwashawishi ndugu na jamaa kujiandikisha na kupiga kura na kulinda kura hadi mshindi atakapotanganzwa. CCM wanaweza kuiba na kuhujumu kura zisizozidi milioni tano. Kama mwaka 2015, wapiga kura milioni 25 watajitokeza kupiga kura na kura zikalindwa, hawatakuwa na lao. Hapo ndipo tutakaa chini na kuandika katiba bora ya kututoa hapa tulipo.

Shime watanzania tutoe mchango wetu katika hili kwa maarifa ya hali ya juu na tuanze sasa. Au mnadhani nisemacho si sahihi?
Umenena vyema mkuu!!!!
 
kwa kweli umetoa mawazo mapana sana mkuu,laiti kama wna jaf wangekuwa na mawazo km hayo,wote tungeungana kuwahamasisha wananchi vijijini,na tukafanya maamuzi yalio sahihi tungeweza kufikia lengo hilo.
 
chama gan kinaweza kuwa hata nafuu,kwa cdm mndengeleko kama mi cna nafac hata kama nina cfa,au nihamie kaskazin mwa nchi?
 
chama gan kinaweza kuwa hata nafuu,kwa cdm mndengeleko kama mi cna nafac hata kama nina cfa,au nihamie kaskazin mwa nchi?

Masaburi yameongea! Endelea kutumiwa kama condom japo indirectly angalau umekiri ccm ime outlive its usefulness!
 
Watanzania kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini baada ya uhuru walielewa kuwa uongozi wao ulitokana na wao wenyewe. Viongozi walikuwa ni sehemu yao kwa kila jambo. Kwa mfano; watoto wote walisoma shule za aina moja na kupata huduma sawa bila ya kujali vyeo vya baba na mama zao.Walipata matibabu katika hospitali zile zile na hadi mwishoni mwa miaka ya themanini kila aliyeugua alipata dawa sitahiki kutoka katika mfumo uliokuwepo. Ninakumbuka nilikuwa na matatizo ya miguu mwaka 1977, niliandikiwa rufaa kwenda hospitali ya Bugando nikitokea Arusha. Niliandaliwa safari na Mwl. Mkuu wa shule yangu ya Ilboru kama ambavyo angekuwa anamuandalia mwanae. Hakutumia fedha zake ila za walipa kodi zilizokuwa zinaletwa na serikali mashuleni. Nilipomaliza masomo ya kidato cha nne, nilienda kukaa nyumbani nikisubiri kupangiwa kazi. Muda ulipotimia niletewa barua ya kupangiwa kazi na kupokelewa kama ilivyopangwa bila ya kukutana na kubembeleza mtu yeyote. Katika mazingira kama haya, ni kwanini mtu asiuamini uongozi uliopo madarakani?

Watu watakimbilia kusema kuwa wasomi walikuwa wachache kulinganisha na wasomi wa leo, ni kweli. Na kweli tupu. Lakini ukweli mwingine ni kwamba, hakuna eneo tunaweza kusema ajira zilizopo zinatosheleza mahitaji. Hadi mwishoni mwaka 2011, mahitaji wa walimu ni makubwa kuliko walimu waliopo. Tuanhitaji walimu wengi zaidi ya waliopo. Tumeshindwa kuwaajiri wote kwa sababu hatuna fedha ya kuwalipa mishahara na stahili zao. Katika afya, watumishi waliopo ni chini ya asilimia 40% ya mahitaji, Ulinzi na usalama, askari wetu walio na ajira ni chini ya nusu ya mahitaji. Kwa mifano hiyo michache ni dhahiri kuwa wasomi wetu wanahitajika sana leo kama ilivyokuwa zamani.

Tutapata wapi fedha za kulipa waajiriwa wapya kama tumeuza viwanda vya nguo kwa waliobadili matumizi na kuuza mitambo ya kutengeneza nguo kama vyuma chakavu na kufanya majengo yawe maghala ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nje ya nchi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya, kama faida inayopatikana kutokana na dhahabu inayochimbwa hapa nchini ni mishahara tu wanyolipwa wazawa wache walioajiriwa na migodi ya dhahabu, kana kwamba dhahabu ghafi sio bidhaa ya kuuza?Yaani haina thamani yeyote! Tutapata wapi fedha kama kila kiongozi anona fahari ya kumiliki mali zisizokuwa na maelezo? Tutapata wapi fedha kama wafanyabiashara wanatanguliza bendera za CCM na sare za kijani kama mbadala wa kulipa kodi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya kama viogozi wetu wanajiongezea posho kwa madai ya kuwagawia wapiga kura wao? Orodha ni ndefu.

CCM haina masikio ya kusikia shida za watu, haoni matatizo ya watu, haina mpango wakutaka kujua matatizo ya msingi ya watu ndio maana wanawagawia wapiga kura kofia za njano, T shirt za kijani na kanga za mchanganyiko wa kijani na manjano. CCM inachosikitisha zaidi ni yale majimbo ya "sera zetu zinakubalika kwa wananchi" wakati wakijua wameiba kura au wamehujumu upigaji wa kura. Maadui wa CCM ni wale wasema ukweli, wapenda haki na usawa, hasa wale ambao uadilifu wao ni wa kuigwa! Hiki ni chama gani sasa?

2015 ndio mwaka wa ukombozi, kujiandikisha, kupiga kura, kuwashawishi ndugu na jamaa kujiandikisha na kupiga kura na kulinda kura hadi mshindi atakapotanganzwa. CCM wanaweza kuiba na kuhujumu kura zisizozidi milioni tano. Kama mwaka 2015, wapiga kura milioni 25 watajitokeza kupiga kura na kura zikalindwa, hawatakuwa na lao. Hapo ndipo tutakaa chini na kuandika katiba bora ya kututoa hapa tulipo.

Shime watanzania tutoe mchango wetu katika hili kwa maarifa ya hali ya juu na tuanze sasa. Au mnadhani nisemacho si sahihi?

Well said ndugu yangu. Mimi tangu 2009 nilikwisha tamka a decree kuwa Tanzania njema lazima izaliwe na naona mawingu yamefika kiasi cha mkono wa mtu so dont worry hata kama wasipotaka watanzania Tanzania njema lazima izaliwe.
 
Watanzania kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini baada ya uhuru walielewa kuwa uongozi wao ulitokana na wao wenyewe. Viongozi walikuwa ni sehemu yao kwa kila jambo. Kwa mfano; watoto wote walisoma shule za aina moja na kupata huduma sawa bila ya kujali vyeo vya baba na mama zao.Walipata matibabu katika hospitali zile zile na hadi mwishoni mwa miaka ya themanini kila aliyeugua alipata dawa sitahiki kutoka katika mfumo uliokuwepo. Ninakumbuka nilikuwa na matatizo ya miguu mwaka 1977, niliandikiwa rufaa kwenda hospitali ya Bugando nikitokea Arusha. Niliandaliwa safari na Mwl. Mkuu wa shule yangu ya Ilboru kama ambavyo angekuwa anamuandalia mwanae. Hakutumia fedha zake ila za walipa kodi zilizokuwa zinaletwa na serikali mashuleni. Nilipomaliza masomo ya kidato cha nne, nilienda kukaa nyumbani nikisubiri kupangiwa kazi. Muda ulipotimia niletewa barua ya kupangiwa kazi na kupokelewa kama ilivyopangwa bila ya kukutana na kubembeleza mtu yeyote. Katika mazingira kama haya, ni kwanini mtu asiuamini uongozi uliopo madarakani?

Watu watakimbilia kusema kuwa wasomi walikuwa wachache kulinganisha na wasomi wa leo, ni kweli. Na kweli tupu. Lakini ukweli mwingine ni kwamba, hakuna eneo tunaweza kusema ajira zilizopo zinatosheleza mahitaji. Hadi mwishoni mwaka 2011, mahitaji wa walimu ni makubwa kuliko walimu waliopo. Tuanhitaji walimu wengi zaidi ya waliopo. Tumeshindwa kuwaajiri wote kwa sababu hatuna fedha ya kuwalipa mishahara na stahili zao. Katika afya, watumishi waliopo ni chini ya asilimia 40% ya mahitaji, Ulinzi na usalama, askari wetu walio na ajira ni chini ya nusu ya mahitaji. Kwa mifano hiyo michache ni dhahiri kuwa wasomi wetu wanahitajika sana leo kama ilivyokuwa zamani.

Tutapata wapi fedha za kulipa waajiriwa wapya kama tumeuza viwanda vya nguo kwa waliobadili matumizi na kuuza mitambo ya kutengeneza nguo kama vyuma chakavu na kufanya majengo yawe maghala ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nje ya nchi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya, kama faida inayopatikana kutokana na dhahabu inayochimbwa hapa nchini ni mishahara tu wanyolipwa wazawa wache walioajiriwa na migodi ya dhahabu, kana kwamba dhahabu ghafi sio bidhaa ya kuuza?Yaani haina thamani yeyote! Tutapata wapi fedha kama kila kiongozi anona fahari ya kumiliki mali zisizokuwa na maelezo? Tutapata wapi fedha kama wafanyabiashara wanatanguliza bendera za CCM na sare za kijani kama mbadala wa kulipa kodi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya kama viogozi wetu wanajiongezea posho kwa madai ya kuwagawia wapiga kura wao? Orodha ni ndefu.

CCM haina masikio ya kusikia shida za watu, haoni matatizo ya watu, haina mpango wakutaka kujua matatizo ya msingi ya watu ndio maana wanawagawia wapiga kura kofia za njano, T shirt za kijani na kanga za mchanganyiko wa kijani na manjano. CCM inachosikitisha zaidi ni yale majimbo ya "sera zetu zinakubalika kwa wananchi" wakati wakijua wameiba kura au wamehujumu upigaji wa kura. Maadui wa CCM ni wale wasema ukweli, wapenda haki na usawa, hasa wale ambao uadilifu wao ni wa kuigwa! Hiki ni chama gani sasa?

2015 ndio mwaka wa ukombozi, kujiandikisha, kupiga kura, kuwashawishi ndugu na jamaa kujiandikisha na kupiga kura na kulinda kura hadi mshindi atakapotanganzwa. CCM wanaweza kuiba na kuhujumu kura zisizozidi milioni tano. Kama mwaka 2015, wapiga kura milioni 25 watajitokeza kupiga kura na kura zikalindwa, hawatakuwa na lao. Hapo ndipo tutakaa chini na kuandika katiba bora ya kututoa hapa tulipo.

Shime watanzania tutoe mchango wetu katika hili kwa maarifa ya hali ya juu na tuanze sasa. Au mnadhani nisemacho si sahihi?

Mkuu umenena vema. kazi iliyobakia ni sisi Watanganyika kuhakikisha CCM wanang'oka 2015 lasivyo nchi itakuwa kama Nigeria kwa rushwa
 
Mechard Rwizile na Wana JF,
Maelezo ni mazuri, na ni matumaini yangu mwenye macho na masikio ya kusikia na kuona na kusoma ujumbe umefika hata kama hawatasema moja kwa moja. Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho.
Mungu ibariki Tanzania
Nawakilisha



Watanzania kwa muda wa miaka zaidi ya ishirini baada ya uhuru walielewa kuwa uongozi wao ulitokana na wao wenyewe. Viongozi walikuwa ni sehemu yao kwa kila jambo. Kwa mfano; watoto wote walisoma shule za aina moja na kupata huduma sawa bila ya kujali vyeo vya baba na mama zao.Walipata matibabu katika hospitali zile zile na hadi mwishoni mwa miaka ya themanini kila aliyeugua alipata dawa sitahiki kutoka katika mfumo uliokuwepo. Ninakumbuka nilikuwa na matatizo ya miguu mwaka 1977, niliandikiwa rufaa kwenda hospitali ya Bugando nikitokea Arusha. Niliandaliwa safari na Mwl. Mkuu wa shule yangu ya Ilboru kama ambavyo angekuwa anamuandalia mwanae. Hakutumia fedha zake ila za walipa kodi zilizokuwa zinaletwa na serikali mashuleni. Nilipomaliza masomo ya kidato cha nne, nilienda kukaa nyumbani nikisubiri kupangiwa kazi. Muda ulipotimia niletewa barua ya kupangiwa kazi na kupokelewa kama ilivyopangwa bila ya kukutana na kubembeleza mtu yeyote. Katika mazingira kama haya, ni kwanini mtu asiuamini uongozi uliopo madarakani?

Watu watakimbilia kusema kuwa wasomi walikuwa wachache kulinganisha na wasomi wa leo, ni kweli. Na kweli tupu. Lakini ukweli mwingine ni kwamba, hakuna eneo tunaweza kusema ajira zilizopo zinatosheleza mahitaji. Hadi mwishoni mwaka 2011, mahitaji wa walimu ni makubwa kuliko walimu waliopo. Tuanhitaji walimu wengi zaidi ya waliopo. Tumeshindwa kuwaajiri wote kwa sababu hatuna fedha ya kuwalipa mishahara na stahili zao. Katika afya, watumishi waliopo ni chini ya asilimia 40% ya mahitaji, Ulinzi na usalama, askari wetu walio na ajira ni chini ya nusu ya mahitaji. Kwa mifano hiyo michache ni dhahiri kuwa wasomi wetu wanahitajika sana leo kama ilivyokuwa zamani.

Tutapata wapi fedha za kulipa waajiriwa wapya kama tumeuza viwanda vya nguo kwa waliobadili matumizi na kuuza mitambo ya kutengeneza nguo kama vyuma chakavu na kufanya majengo yawe maghala ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nje ya nchi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya, kama faida inayopatikana kutokana na dhahabu inayochimbwa hapa nchini ni mishahara tu wanyolipwa wazawa wache walioajiriwa na migodi ya dhahabu, kana kwamba dhahabu ghafi sio bidhaa ya kuuza?Yaani haina thamani yeyote! Tutapata wapi fedha kama kila kiongozi anona fahari ya kumiliki mali zisizokuwa na maelezo? Tutapata wapi fedha kama wafanyabiashara wanatanguliza bendera za CCM na sare za kijani kama mbadala wa kulipa kodi? Tutapata wapi fedha za kuwalipa waajiriwa wapya kama viogozi wetu wanajiongezea posho kwa madai ya kuwagawia wapiga kura wao? Orodha ni ndefu.

CCM haina masikio ya kusikia shida za watu, haoni matatizo ya watu, haina mpango wakutaka kujua matatizo ya msingi ya watu ndio maana wanawagawia wapiga kura kofia za njano, T shirt za kijani na kanga za mchanganyiko wa kijani na manjano. CCM inachosikitisha zaidi ni yale majimbo ya "sera zetu zinakubalika kwa wananchi" wakati wakijua wameiba kura au wamehujumu upigaji wa kura. Maadui wa CCM ni wale wasema ukweli, wapenda haki na usawa, hasa wale ambao uadilifu wao ni wa kuigwa! Hiki ni chama gani sasa?

2015 ndio mwaka wa ukombozi, kujiandikisha, kupiga kura, kuwashawishi ndugu na jamaa kujiandikisha na kupiga kura na kulinda kura hadi mshindi atakapotanganzwa. CCM wanaweza kuiba na kuhujumu kura zisizozidi milioni tano. Kama mwaka 2015, wapiga kura milioni 25 watajitokeza kupiga kura na kura zikalindwa, hawatakuwa na lao. Hapo ndipo tutakaa chini na kuandika katiba bora ya kututoa hapa tulipo.

Shime watanzania tutoe mchango wetu katika hili kwa maarifa ya hali ya juu na tuanze sasa. Au mnadhani nisemacho si sahihi?
 
Nina wadogo zangu wawili. Mmoja hakupiga kura kwa sababu alikuwa shule na hakuwa amejiandikisha japo ndo alikuwa ametimiza miaka 18, mwingine hakuwa amefikisha umri! Sasa 2015 naamin wote watapiga kura. Kwa hyo kwenye familia yetu tumeshaongeza vichwa viwili..
 
Ccm inapendwa na wazee na wakina mama wakihongwa khanga na mitandio, halafu inachukiwa na vijana! Kufikia 2015 wazee wengi watakuwa wamekufa na vijana wengi watakuwa wametimiza umri wa kupiga kura!
 
Hembu fanyeni mpango basi hii habari iandikwe magazetini kama makala maalum, au front page kama uchambuzi makini. Kwa kweli watanzania wote bila kujali itikadi, inabidi kuisoma hii.
 
Ref. To the heading above, Arusha wana usemi kwamba "hiyo sio kitu ya kuuliza!"

Binafsi naamini hakuna sababu ya ccm kuendelea kututawala! Tunahitaji viongozi na ccm hakuna hata mmoja!
 
Masaburi yameongea! Endelea kutumiwa kama condom japo indirectly angalau umekiri ccm ime outlive its usefulness!

siasa sampuli hii ndio zinaikosesha chadema kura hasa za watu kama mimi ambao tuko wengi na huwa tunafanya maamuzi kwa kusikiliza sera za chama husika kuelekea uchaguzi,kwa style hii ya siasa mtakua mnapata kura za wanachama wenu tu ambazo hazitoshi!
 
Back
Top Bottom