nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Zinavunjika kwa sababu wote walioana wakijua ndoa si kifungo; they can walk in and out as they wish! Kwa hiyo wanaokotana tu wakijua fika kuwa if he/she is not the one nachapa lapa.
Wale wanaochukulia ndoa kuwa ni life time commitment wanafanya upembuzi yakinifu kabla ya kuingia kwenye commitment.
Ndoa inakuwa jinsi ilivyo kwa kuwa watu wanataka iwe hivyo. Na ndoa ya kuvunjika nyingi zinajulikana hata kwa ndugu na jamaa za karibu from the wedding day. Utasikia "hapa kazi ipo" hapo ujue wote mapepe. Mmoja akiwa mapepe mwenzie katulia chance ya ndoa kudumu ni higher kuliko wote wakiwa mule mule.
Ndoa zinazodumu ni za couples ambazo ni mature. Na maturity si age!
Wale wanaochukulia ndoa kuwa ni life time commitment wanafanya upembuzi yakinifu kabla ya kuingia kwenye commitment.
Ndoa inakuwa jinsi ilivyo kwa kuwa watu wanataka iwe hivyo. Na ndoa ya kuvunjika nyingi zinajulikana hata kwa ndugu na jamaa za karibu from the wedding day. Utasikia "hapa kazi ipo" hapo ujue wote mapepe. Mmoja akiwa mapepe mwenzie katulia chance ya ndoa kudumu ni higher kuliko wote wakiwa mule mule.
Ndoa zinazodumu ni za couples ambazo ni mature. Na maturity si age!