Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,638
Habarini wana MMU
nimefanya analysis nimegundua vijana wa zama hizi ndoa zao ni nguvu ya soda wanaachana fasta kwanin?
Mfano. Bro wangu mmoja ni tutorial assistant pale SUA alimuoa class mate wake bonge la harusi kule kwetu mwanza waliachana baada ya miezi miwili kwa Ugomvi mkubwa sana na bro mwingine alioa mwaka jana mwezi wa 7 binti mmoja wa kidigo yani by december ndoa ikavunjika kbsaaa
sasa wenzetu mliodumu ndoani what are the mistakes tunazokosea jamani???
Tujulisheni tujifunze maana haileti picha nzuri kabisa.
nimefanya analysis nimegundua vijana wa zama hizi ndoa zao ni nguvu ya soda wanaachana fasta kwanin?
Mfano. Bro wangu mmoja ni tutorial assistant pale SUA alimuoa class mate wake bonge la harusi kule kwetu mwanza waliachana baada ya miezi miwili kwa Ugomvi mkubwa sana na bro mwingine alioa mwaka jana mwezi wa 7 binti mmoja wa kidigo yani by december ndoa ikavunjika kbsaaa
sasa wenzetu mliodumu ndoani what are the mistakes tunazokosea jamani???
Tujulisheni tujifunze maana haileti picha nzuri kabisa.