Kwa nini nafasi za Kazi ziko chache Tanzania?

STEIN

JF-Expert Member
Aug 29, 2010
1,770
553
Ndugu zangu wanaJF,

Miongoni mwa sababu nyingi ambazo zinafanya waTZ wengi kutokupata kazi ni hizi zifuatazo:
1. Makampuni mengi hapa TZ kumilikiwa na wageni kiasi cha faida inayopatikana huchukuliwa na kupelekwa kwenye nchi waliko wamiliki, zingekuwa zinamilikiwa na waTZ ungekuta wanaanzisha makampuni/investment zingine na watu tukaendelea kupata ajira.

2. Kwa sababu makampuni haya yanmilikiwa na wageni, basi kumekuwa na wimbi kubwa la wageni kubebana wenyewe kwa wenyewe kwenye nafasi za ajira, mfano mzuri ni mahoteli mengi ya utalii utakuta hadi wafanya usafi wanatoka Kenya, uganda, etc.

3. Sheria za Kazi kutokufuatwa, kwani utakuta hata kazi ambayo haihitaji kuagiza mtalamu/specialist kutoka nje, anatafutiwa mtaalamu kutoka nje kwa kisingizio eti hakuna mTZ anayeweza kuhandle hiyo post.

4. Serikali kukimbia wajibu wake wa kuhakikisha inatengeneza nafasi za ajira kwa waTZ wengi badala yake imekuwa inasubiri kukata watu kodi kubwa.

5. Serikali kutokuwapa makampuni ya wazawa fursa nzuri ili yaweze kushindana na ya wageni katika kupata kazi mbali mbali badala yake imekuwa inayabeba makampuni ya kigeni.


Sababu ziko nyingi sana, tuziainishe na kuhakikisha tunapambana hadi mwisho ili kuhakisha serikali inapitia upya sera ya kuingiza wageni nchi na kufanya kazi kiholela.
 
Ndugu zangu wanaJF,

Miongoni mwa sababu nyingi ambazo zinafanya waTZ wengi kutokupata kazi ni hizi zifuatazo:
1. Makampuni mengi hapa TZ kumilikiwa na wageni kiasi cha faida inayopatikana huchukuliwa na kupelekwa kwenye nchi waliko wamiliki, zingekuwa zinamilikiwa na waTZ ungekuta wanaanzisha makampuni/investment zingine na watu tukaendelea kupata ajira.

2. Kwa sababu makampuni haya yanmilikiwa na wageni, basi kumekuwa na wimbi kubwa la wageni kubebana wenyewe kwa wenyewe kwenye nafasi za ajira, mfano mzuri ni mahoteli mengi ya utalii utakuta hadi wafanya usafi wanatoka Kenya, uganda, etc.

3. Sheria za Kazi kutokufuatwa, kwani utakuta hata kazi ambayo haihitaji kuagiza mtalamu/specialist kutoka nje, anatafutiwa mtaalamu kutoka nje kwa kisingizio eti hakuna mTZ anayeweza kuhandle hiyo post.

4. Serikali kukimbia wajibu wake wa kuhakikisha inatengeneza nafasi za ajira kwa waTZ wengi badala yake imekuwa inasubiri kukata watu kodi kubwa.

5. Serikali kutokuwapa makampuni ya wazawa fursa nzuri ili yaweze kushindana na ya wageni katika kupata kazi mbali mbali badala yake imekuwa inayabeba makampuni ya kigeni.


Sababu ziko nyingi sana, tuziainishe na kuhakikisha tunapambana hadi mwisho ili kuhakisha serikali inapitia upya sera ya kuingiza wageni nchi na kufanya kazi kiholela.
Thanks for describing various reasons denying Tanzanians to hold various posts in corporations owned by foreigners. However, we are now at a turning point whereby the wind direction will change in our favour through constititutional changes OR Peoples POWER.
 
umesahau undugu? watu wanapeana kazi ndugu kwa ndugu au ngono! typical tanzania.:sick:
 
umesahau undugu? watu wanapeana kazi ndugu kwa ndugu au ngono! typical tanzania.:sick:
Haya Takukuru wameahidi kuyatatua (ila wingu ni zito) , kwa rushwa ya ngono mapambano ni magumu kwa maana wengi hawajitokezi kusema ( ukimya inaashia walikuwa wamedhamiria) otherwise ingekuwa rushwa rahisi sana kupambana nayo. maana mtoaji angeweza ku arrange na Takukuru kwa urahisi zaidi juu ya wapi na wakati gani rushwa inatarajiwa kutolewa na kwa mwendo huo mbona mijitu mingi ingeomba ardhi ipasuke ijifiche huko kwa aibu.
 
Thanks for describing various reasons denying Tanzanians to hold various posts in corporations owned by foreigners. However, we are now at a turning point whereby the wind direction will change in our favour through constititutional changes OR Peoples POWER.

Thanks Ngoko,
These are just few reasons they are many as you can see now CCM government don't take this as a serious issue, like now they want all machingas to get out of the city; where will they go? Tanzania is ours not for Chinese, Somalian, Hindis etc. We have to be clear on this and we better start with Katiba mpya so that all this are eliminated at per.
 

Uko sahihi ndio maana utakuta mtu mmoja anashikilia nafasi zaidi ya moja, mfano Wiliam Lukuvi ana posti tatu ambazo ukijumlisha mshahara wake na posho ni sawa na kuwalipa waalimu kama 60 kila mwezi:


Nafanua:
kama mbunge anachukua kwa makadirio 6mil.
Kama waziri anachukua kwa makadirio 10Mil (pamoja na kuchakachua juu)
Kama mkuu wa mkoa DSM anachukua 6Mil (pamoja na kuchakachua juu)
Hakosi kuwa mwenyekiti wa bodi fulani kama 2Mil (pamoja na kuchakachua juu)

Jumla yote ni kama 24Mil kwa mwezi; mwalimu moja nia sawa na arround 400,000/= kwa kima cha chini
24 Mil ni sawa na waalimu sitini (60) huyu ni mtu mmoja tu je watu kama hao wako wangapi?

Kweli tunahitaji uongozi mpya na Katiba mpya
 
Wengine huku kwetu hata mitaala ya kazi tunafuata ya nchi wanazotoka hao wawekezaji, kazi kweli kweli!

Unaenda kuomba kazi mahali unapitia mlangoni (tena mlango wa mbele), unakosa kazi!
Unauliza shida nini, unaambiwa wenzio wanapitia mlango wa nyuma!
Unazunguka nyuma, unakuta mlango wenyewe ni kama dirisha halafu uko juu kiasi kwamba huwezi kuufikia kiurahisi!
Unauliza wenzio wanaingiavipi, unaambiwa hadi mtu anayekufahamu akunyanyue! Hapa ndipo kazi ilipo kwetu sisi!


Kazi hakuna, na KAMLETE zimejaa!
 
Back
Top Bottom