Khaa! Jamaani!
Natamani huu uzi auone Cka wangu!
Haniskilizi hata kidogo baada ya kugundua na.na.naa....
Ukweli nampenda yeye na tatizo lake MAFUTA HAYAPIMIKI!
Ningefanyaje sasa?
Kuna msemo wa kisukuma 'majanga huenda kwa binadamu, sio miti'
Unless wewe ni mti
Kwa mwanamke kama hampendi mwanaume, kufanya naye mapenzi ni vigumu, labda tu kama amempendea fedha na anazihitaji sana ili kumaliza matatizo yake ya kifedha au anafanya biashara.
mada nzuri dah!! Mie nikimfumania mume wangu sitomuacha kwakweli.
mimi nlifumaniwa weeee na wife ila mwenyewe nimeacha na kuona ntamuuwa bule mtoto wa mwanaume mwenzangu, wanawake ni watu wema sana kwa kweri kuliko wanaume katika isue km hii ikitokea, kwa sababu mimi nilihisi tu palichimbika ndani
sitotengana nae, nitaona ni tamaa za mwili tu za muda mfupi. hiyo haiwezi kuwa sababu ya mimi kudai talaka.
Maisha haya mwe...naomba nisije kufumania..
Jirani usipoweza huwa mtaani kuna watu spesho kwa ajili ya kuoganaizi mafumanizi...:redface:
Men are so selfish..Mwanamke ni mdhaifu sana na hudanganyika kwa kitu kidogo na kuacha kitu muhimu. Mwanaume anaweza kua na nyumba ndogo (kimada) ila bado akatunza familia yake na kumpenda mke wake kama kawaida, ila mwanamke akionyeshwa pesa tu hapo mume wake/mpenzi ndo anakua takataka, wengi ndo huondoka na mabegi yao kuhamia kwa "mpenzi" mpya...do not trust a woman...