Kwa nini mmoja awe na virusi vya ukimwi na wingine hana?

kwa kawaida ya magonjwa yote ya kuambukiza huwa kunakuwa na time toka kuambukizwa mpaka nae aweze kuambukiza. mfano siku za mwanzo mgonjwa wa ukimwi uwezo wake wa kuambukiza unakuwa mdogo lakini siku zinavyopita unakuta hata mate yanakuwa na virusi. tukirudi kwenye swali haiwezekani mtu huyu kuambukiza sababu vurusi vinatakiwa viingie kwenye damu kisha ndani ya seli kuzaliana na kusambaa sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye mbegu za kiume sasa visipozaliana haviwezi kusurvive na pia concentration yao inakuwa ndogo mno to be infective

shukrani sana mkuu. Je, mtu anaweza kupimwa kujua kama anavishikizo au la?
 
kwa bongo sijui ila wenzetu huko ulaya wanapima, kuna aina nyingi ya cell surface receptor (vishikizo)unajua hata CD4 ni cell surface receptor(vishikizo sijui kama ni neno muafaka). kwa hiyo watu wakisema CD4 zimepungua huwa wanamaanisha seli zenye vishikizo vya CD4 zimepungua baada ya kuingiliwa na virusi. ila kujua kama mtu hawezi pata ukimwi huwa wanapima vishikizo vya aina ya CXCR5 (am i going to far?). nafikiri tunaweza kupima pengine tunaona it is a luxury we can not afford
 
kwa bongo sijui ila wenzetu huko ulaya wanapima, kuna aina nyingi ya cell surface receptor (vishikizo)unajua hata CD4 ni cell surface receptor(vishikizo sijui kama ni neno muafaka). kwa hiyo watu wakisema CD4 zimepungua huwa wanamaanisha seli zenye vishikizo vya CD4 zimepungua baada ya kuingiliwa na virusi. ila kujua kama mtu hawezi pata ukimwi huwa wanapima vishikizo vya aina ya CXCR5 (am i going to far?). nafikiri tunaweza kupima pengine tunaona it is a luxury we can not afford

nashukuru sana, umenipunguzia tongotongo.
 
kwa bongo sijui ila wenzetu huko ulaya wanapima, kuna aina nyingi ya cell surface receptor (vishikizo)unajua hata CD4 ni cell surface receptor(vishikizo sijui kama ni neno muafaka). kwa hiyo watu wakisema CD4 zimepungua huwa wanamaanisha seli zenye vishikizo vya CD4 zimepungua baada ya kuingiliwa na virusi. ila kujua kama mtu hawezi pata ukimwi huwa wanapima vishikizo vya aina ya CXCR5 (am i going to far?). nafikiri tunaweza kupima pengine tunaona it is a luxury we can not afford


Thanks Mkuu for being very educative!! Yes you are going too far for this very mixed audience.

Wanapima kama kuna mutation (deviation from the normal) kwenye co-receptor CCR5. In most cases, hii co-receptor ndiyo inayo participate katika ku-facilitate HIV kuingia kwenye macrophage kama mgonjwa anakutana na HIV kwa mara ya kwanza kabisa. Kwa hiyo hii receptor ikiwa abnormal (ime-undergo mutation), mtu huwa "immune"

Sorry for carrying the discussion too far!!
 
nimeipenda hii mada ngoja niwape stori kidogo ya kwangu official

nlimpata msichana mwaka juzi alikuwa positive na antumia dawa siku ya kwanza tu kufanya nae bahati mbaya ilikuwa bafuni hakukuwa na muda wa kondom baada ya hapo ikawa ndani ila nilipomaliza bao la pili moyo ukashtuka alikuwa kachoka kalala nkapekua mkoba nkakuta arv ndani na cheti cha muhimbili ilikuwa kama nife but kilichotokea nkajua tayari nshaathirika nkamwamsha nikamuuliza kwann kaniua,alilia mwisho akanambia ukweli khs alivyoupata ila akanambia ananipenda hapendi watu kumnyanyapaa ndio maana alikuwa kaamua kuwa player gal,nlimtuliza nkamwambia imeshatokea so niwe wa mwisho kuuawa kwake alilia akakubali then nikasex nae bila kondom ila kwa kumuahidi simwachi ila baada ya miezi mitatu ikiwa positive ndo mke wangu ila ikiwa negative ntakuwa friend
 
Back
Top Bottom