Kwanini mmeweka form yangu ya maombi ya SENSA kwenye RECYCLE BIN?

Bush fisi ooppss "Bushbaby" GOD always bless knowlegle not ignorance,acha upimbi.

Ninachojua Mungu huvitumia vidhaifu kuaibisha vyenye nguvu...ili ijulikane kwamba yeye ni Mungu!!! ulijiinua sana na elimu yako ya Degree Moja!! sasa wenye vyeti vya form 4 wanaenda kuvuta 700,000 kwa wiki moja wewe unabaki kung'aa sharubu!!!
 
Ninachojua Mungu huvitumia vidhaifu kuaibisha vyenye nguvu...ili ijulikane kwamba yeye ni Mungu!!! ulijiinua sana na elimu yako ya Degree Moja!! sasa wenye vyeti vya form 4 wanaenda kuvuta 700,000 kwa wiki moja wewe unabaki kung'aa sharubu!!!

Kaka inaelekea una jazba sana ukisikia mtu ana bachelor eeh!!! Hahaaah kama una hicho ki f4 chako just relax coz uko level tofauti na kitu BC! sawa ka ku compare Taifa stars na Spain!!
 
Ama kweli,leo nimekubali ile kauli mbiu inayosema WEWE UNAMJUA NANI? NA SIO WEWE UNA QUALIFICATION GAN?
Pamoja na bachelor yangu nimeangukia pua kwenye kazi ya muda ya sensa.ILA HAKUNA MBAYA KWANI KINACHONIUMIZA NAAMINI KINANIKOMAZA KIJESHI,nimlilie nani wakati hakuna anayenijali?,HII NDO
SAUTI YA MPWEKE NYIKANI

Una bachelor ya SENSA?
 
Kwanza aliongea vibaya sana.....eti mimi na Bachelor yangu nikikosa na wa Form 4 apate itawezekana? imewezekana sasa!! Kula hiyo Bachelor yako....kila kitu ni kumtanguliza Mungu na sio Elimu yako!!

Elimu yetu inawafanya wajinga wabadilike. Lkn cha kushangaza mabadiliko yenyewe sio positive. Mtu anatoka kwenye UJINGA na kuingia kwenye UJUHA.

Ndugu yetu baada ya kusoma miaka 16 darasani alichoweza kuambua ni karatasi lililoandikwa 'BACHELOR DECREE'.

Dear JUHAS,

'Nini kimetukumba vichwani kiasi tuamini kuwa ukiwa na MBA unakuwa bora zaidi ya MVUVI linapokuja suala la kupiga mbizi na makasia?'

Ndio maana mimi nikauliza swali moja tu: Bachelor yako ni SENSA?

Akili za kijuha hizo hizo ndio tume inaziepuka kwani kwa ujinga tunaojifunga darasani than we are superiors in whatever fields tutakuwa wagumu kupokea maagizo badala yake tutatumia muda mwingi kuhoji mtoa maagizo ana kiwango gani cha elimu.
 
Elimu yetu inawafanya wajinga wabadilike. Lkn cha kushangaza mabadiliko yenyewe sio positive. Mtu anatoka kwenye UJINGA na kuingia kwenye UJUHA.

Ndugu yetu baada ya kusoma miaka 16 darasani alichoweza kuambua ni karatasi lililoandikwa 'BACHELOR DECREE'.

Dear JUHAS,

'Nini kimetukumba vichwani kiasi tuamini kuwa ukiwa na MBA unakuwa bora zaidi ya MVUVI linapokuja suala la kupiga mbizi na makasia?'

Ndio maana mimi nikauliza swali moja tu: Bachelor yako ni SENSA?

Akili za kijuha hizo hizo ndio tume inaziepuka kwani kwa ujinga tunaojifunga darasani than we are superiors in whatever fields tutakuwa wagumu kupokea maagizo badala yake tutatumia muda mwingi kuhoji mtoa maagizo ana kiwango gani cha elimu.

yaani wewe unambeza mtu wa elimu ya chuo kwa kulalamika kwake baada ya kukosa kazi za muda za sensa! Nakuomba uhakiki hayo mawazo yako.
Huo mfano unaoutoa wa mvuvi haufanani na malalamiko binafsi ya mtoa uzi.Ukitaka huo mfano uwe sawa huyo muogeleaji mvuvi mfananishe na muogeleaji wa kwenye michuano ya olimpiki.Note: Hizo ni kazi za muda tu usimbeze mtu(KWA KUMUITA JUHA),ipo siku naye atapata tena Mungu akimjalia kazi ya kudumu.
 
"Las Mas Bobos" nina bachelor ya statistic,

Sensa yenyewe ndio statistics, lkn si kwamba basi hata shughuli ya kufagia ofisi ya NBS upewe wewe kwa kuwa una bachelor ya statistics.

Kama wangekuwa wanarecruit wakurugenzi na watakwimu ningekuelewa lkn sio makarani wa kukusanya data mtaani. Next time ukitaka kazi ndogo ndogo basi tumia vyeti vidogo vidogo, kazi zina staha yake
 
yaani wewe unambeza mtu wa elimu ya chuo kwa kulalamika kwake baada ya kukosa kazi za muda za sensa! Nakuomba uhakiki hayo mawazo yako.
Huo mfano unaoutoa wa mvuvi haufanani na malalamiko binafsi ya mtoa uzi.Ukitaka huo mfano uwe sawa huyo muogeleaji mvuvi mfananishe na muogeleaji wa kwenye michuano ya olimpiki.Note: Hizo ni kazi za muda tu usimbeze mtu(KWA KUMUITA JUHA),ipo siku naye atapata tena Mungu akimjalia kazi ya kudumu.

Mfano wako wa olimpiki hata siuelewi, ngoja nikipata bachelor ya kuelewa mifano nitaurudia.

Kuhusu UJUHA, sikumwita JUHA kwa kuwa ana bachelor bali kwa namna yake ya kufiki. Kwa maneno mengine hata wewe ni JUHA PIA.

Hivi leo hii mimi nikisema nahitaji mtu wa kufanya naye kazi, na nikaweka sharti kuwa mtu huyo anatakiwa aweze kuandika jina lake. Ukaja wewe na bachelor yako ukaandika jina, akaja ambaye hajaenda darasani lkn kwa utundu wake naye akaweza kuandika jina lake. Mimi nikamchagua yule asiye na darasa, utalalamika kuwa nimekuonea?

Ingekuwa waliochaguliwa hawakukidhi masharti ningawaelewa lkn kwa kuwa sharti ni cheti cha form 4 na hakuna sehemu walioandika kuwa degree ni added advantage, basi kaa ujue kuwa wanawaconsider flat.

Kama unafikiri bachelor yako ni Umungu, basi kwa nini ukaombe kazi dhaifu ambayo hata form 4 anaimudu?
 
Mfano wako wa olimpiki hata siuelewi, ngoja nikipata bachelor ya kuelewa mifano nitaurudia.

Kuhusu UJUHA, sikumwita JUHA kwa kuwa ana bachelor bali kwa namna yake ya kufiki. Kwa maneno mengine hata wewe ni JUHA PIA.

Hivi leo hii mimi nikisema nahitaji mtu wa kufanya naye kazi, na nikaweka sharti kuwa mtu huyo anatakiwa aweze kuandika jina lake. Ukaja wewe na bachelor yako ukaandika jina, akaja ambaye hajaenda darasani lkn kwa utundu wake naye akaweza kuandika jina lake. Mimi nikamchagua yule asiye na darasa, utalalamika kuwa nimekuonea?

Ingekuwa waliochaguliwa hawakukidhi masharti ningawaelewa lkn kwa kuwa sharti ni cheti cha form 4 na hakuna sehemu walioandika kuwa degree ni added advantage, basi kaa ujue kuwa wanawaconsider flat.

Kama unafikiri bachelor yako ni Umungu, basi kwa nini ukaombe kazi dhaifu ambayo hata form 4 anaimudu?

kama umeshindwa kuelewa marekebisho niliyokupa ya namna ya kutoa mfano ulioutoa wewe wa kuhitajika mtu wa kuogelea kisha mwenye degree ya computer engineering kuamini anao uwezo wa kushinda basi pia nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri.Kwa kuwa tayari nishakuwa na wasiwasi juu ya uwezo wako wa kufikiri,kila utakachokiongea sina budi kukipumbaza.Utanisamehe kwa maamuzi ninayochokuwa kama hayatokufurahisha.
Sorry.
 
Aiseee huku kwetu rombo ni watoto wa wauza mbege maharufu,,

ngoja niagize kata ya mbege ya mwisho nikalale one 4 the road
 
yaani wewe unambeza mtu wa elimu ya chuo kwa kulalamika kwake baada ya kukosa kazi za muda za sensa! Nakuomba uhakiki hayo mawazo yako.
Huo mfano unaoutoa wa mvuvi haufanani na malalamiko binafsi ya mtoa uzi.Ukitaka huo mfano uwe sawa huyo muogeleaji mvuvi mfananishe na muogeleaji wa kwenye michuano ya olimpiki.Note: Hizo ni kazi za muda tu usimbeze mtu(KWA KUMUITA JUHA),ipo siku naye atapata tena Mungu akimjalia kazi ya kudumu.
Kwani unauhakika kwamba huyo mwenye degree alijibu maswali kama ilivyohitajika?Na unaamn kula form four hakujibu yale maswali vzr kwa sababu gana degree?Lkn pia anaweza ukithibitisha kwamba kila mwenye degree anajua kila kitu na kila form four hajui kila kitu?.Mfano swali liliuza kwamba"Kuna aina ngapi za anuani hapa duniani? Zitaje" Kuna tofauti gani kati ya barabara na mtaa?.Je hayo maswali yanauhusiano wowote na degree yako? Unadhani form four hawezi jibu hayo maswali? Na je kila degree holder anaweza kuyajibu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom