DE FULE
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 1,216
- 704
Kwa sababu 21 ni namba tasa
Ndo mana ulishabikia elimu elimu elimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu 21 ni namba tasa
Ndiyo maana yakeNdo mana ulishabikia elimu elimu elimu.
Kama ndo hivyo kwa nini kila hiyo saba asipigiwe mkuu wa muhimili husika?
umekomea la ngapi mpaka useme hiyo ni namba tasa
Hata mheshimiwa aliyepigiwa hajui ni kwanini mizinga 21!!!!!
This is Tanzania,Full kukalili
kwa sababu 21 ni namba tasa
Khaa!! siyo namba Tasa bana? 21/3 = 7, 21/7 = 3 labda ungesema witri :hand:kwa sababu 21 ni namba tasa
ha ha ha elimu elimu elimuKhaa!! siyo namba Tasa bana? 21/3 = 7, 21/7 = 3 labda ungesema witri :hand:
Tumuulize kalapina, yule mkuu wa kikosi cha mizinga
Karne ya 21
Mizinga 21
Nasikia ni 7 kwa kila muhimili wa Serikali. 7*3