Nadharia kuhusu chanzo na maana ya heshima ya kijeshi ya Mizinga 21

Mambo tu ya kijinga waliyojipangia binadamu ni kama vile watu
wenye akili timamu na ndevu zao kukimbiza moto (mwenge)
kusimama inapopandishwa nguo inayoitwa bendera n.k
 
Hata mie sijui la idadi ya mizinga ila nalitazama kibiashara. Nchi nyingi hazina vita na watu walishainvest kutengeneza hiyo mizinga.


Nadhani protocol zingine zina mazingira ya kibiashara lazima mizinga itumike ili inunuliwe mingine. Hii tumerithi toka kwa hao wagunduzi na watengeneza mizinga.
 
Wanajamvi mara nyingi nimeona maraisi wanapofika Nchi fulani ama nchini mwao kwenye matukio maalumu hupigiwa mizinga 21 ya kijeshi.

Je, ni Kwanini iwe 21???
Kuna jambo gani katika hiyo namba???

Kadharika na mawaziri wakuu ni mizinga 19.

Tafadhari mwenye kuyajua haya na atujuze.
Hata waziri mkuu wa Israel na Uingereza?
 
salaam Jf

Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia ama kusikia kupigwa kwa mizinga 21 kwa Mkuu wa nchi katika sherehe za kitaifa ama wakati Mkuu wa nchi nyingine anapozuru nchi mwenyeji, vilevile kwanini majenerali kuanzia Brigedia jenerali wanapigiwa mizinga 11, Meja jenerali wanapigiwa mizinga 13, Luteni jenerali wanapigiwa mizinga 15 na Jenerali anapigiwa mizinga 17 wakati wa kuagwa baada ya kustaafu ama wakati wa kuzikwa kwao wanapofariki dunia. Nini maana na asili ya mizinga ya kijeshi kwa wakubwa hao? wajuvi wa mambo hebu wekeni mubashara

Mimi nadhani hata recruit (kuruta) wa JKT akifa anapigiwa risasi za bunduki, wanaita salvo, ingawa sijui ni ngapi.
 
Embu andika mizinga 21 kwa kingereza alafu nenda Google uperuzi hizo articles huenda kuna mtu aliwahi kufanya uchambuzi, maana kwa kiswahili sidhani kama utapata.
 
A 21-gun salute is the most commonly recognized of the customary gun salutes that are performed by the firing of cannons or artillery as a military honor.

The custom stems from naval tradition, where a warship would fire its cannons harmlessly out to sea, until all ammunition was spent, to show that it was disarmed, signifying the lack of hostile intent. As naval customs evolved, 21 guns came to be fired for heads of state, or in exceptional circumstances for head of government, with the number decreasing with the rank of the recipient of the honor.

While the 21-gun salute is the most commonly recognized, the number of rounds fired in any given salute will vary depending on the conditions. Circumstances affecting these variations include the particular occasion and, in the case of military and state funerals, the branch of service, and rank (or office) of the person to whom honors are being rendered.

The tradition of saluting can be traced to the Late Middle Ages practice of placing oneself in an unarmed position and, therefore, in the power of those being honored. This may be noted in the dropping of the point of the sword, presenting arms, discharging cannon and small arms by firing them, lowering sails, manning the yards, removing the headdress or laying on oars.

A Dutch man-of-war firing a salute. The Cannon Shot, painting by Willem van de Velde the Younger. The gun salute might have originated in the 17th century with the maritime practice of demanding that a defeated enemy expand its ammunition and render itself helpless until reloaded, a time-consuming operation. The gun salute had been established as a naval tradition by the late sixteenth century.

A man-of-war which visited a foreign port would discharge all its guns to show that its guns were empty. Since the ship would not have enough time to reload before it was within range of the shore batteries, it was clearly demonstrating its friendly intentions by going in with empty guns.

Salute by gunfire is an ancient ceremony. For years, the British compelled weaker nations to render the first salute; but in time, international practice compelled "gun for gun" on the principle of equality of nations. In the earliest days, seven guns was the recognized British national salute because seven was the standard number of weapons on a vessel. In that day, gunpowder made from sodium nitrate was easier to keep on dry land than at sea.

Thus those early regulations stated that although a ship would fire only seven guns, the forts ashore would fire three shots to each one shot afloat, hence the number 21.[1] The system of firing an odd number of rounds is said[by whom?] to have been originated by Samuel Pepys, Secretary to the Navy in the Restoration, as a way of economizing on the use of powder, the rule until that time having been that all guns had to be fired. Odd numbers were chosen, as even numbers indicated a death.[2] With the increase in quality of naval gunpowder by the use of potassium nitrate, honours rendered at sea were increased to the shore salute.

21 guns became the highest national honor. There was much confusion because of the varying customs of maritime states, but finally the British government proposed to the United States a regulation that provided for "salutes to be returned gun for gun". The British at that time officially considered the international salute to sovereign states to be 21 guns, and the United States adopted the 21 guns and "gun for gun" return on 18 August 1875.
 
Habari za usiku wakuu,

Tukiwa tunaendelea kuomboleza msiba mzito wa kiongozi wetu mpendwa,Hayati Benjamin William Mkapa aliyeaga dunia usiku wa kuamkia leo.

Naomba kuuliza kuhusu mizinga ambayo viongozi wetu wakubwa huwa wanapigiwa pindi wanapofariki au tukio jingine.

Niliwahi kusikia huwa inapigwa mizinga 21(ishirini na moja),Sasa najiuliza kwanini iwe 21 na isiwa kumi,au 30 au basi idadi yeyote ile?

Kwanini mizinga 21?.Pili ina maanisha kitu gani??.Tatu je haiwezi kuleta madhara kwa binadamu km vile kujeruhi au kuua pindi ikikosewa kupiga?.

Nne ukiacha Maraisi,ni viongozi gani wengine wanaostahili kupigiwa mizinga?.Au basi ni matukio gani yanayoweza kupelekea mizinga kupigwa?.

Naomba kuwasilisha.Wajuzi wa mambo hayo ya Kijeshi njooni mnielimishe.Alamsiki.
 
Kimsingi kupiga mizinga 21 ina historia toka zamani wakati meli za kijeshi zilipokua zinatembelea nchi za kigeni(zilikua na mizinga 21 ndani ya meli) hivyo mabaharia walilazimika kufyatua mizinga yote katika pwani ya nchi wanayotembelea ili kutoa alama kwamba wanakuja kwa amani. Wakishafyatua wote wanajipanga juu ya meli ili waonekane kwamba hawawezi ku-reload ndo wanaruhusiwa kuingia katika nchi.

Kwahiyo muda ulivyokwenda baadae ikaja kuzoeleka na mapokeo ikawa hata mkuu wa nchi anapotembelea anapigiwa mizinga 21

Askari yeyote anapokufa kwenye mazishi anapigiwa risasi 21?

Mwanajeshi kuanzia cheo cha Brigedia Jenerali anapigiwa mizinga 6 nadhani

Viongozi wakuu wa nchi mizinga 21

Watakuja wajuzi wengine kurekebisha nilipokosea
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom