Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Nimepita pale kwenye dula linalouza miswada mbali mbali iliyopitishwa na serikali na nimekuta karibu yote imeandikwa kwa kiingereza
nilikuwa nina taka sana ile ya serikali za mitaa tena ambayo inamhusu mtu wa kawaida kabisa...lakini nayo imeandikwa kwa kiingereza tena kile kigumu
sasa cha kujiuliza waziri wa Utamaduni anafanya nini?
ofisi ya waziri mkuu kwa nini hawasemi jambo kuhusu hili?
na muhimu zaidi je nia ya kuchapisha hii miswada kwa kiingereza ni nini hasa?
je ni haku kusema kuwa kuna nia za siri ambazo watawala wetu hawataki tujue?
nilikuwa nina taka sana ile ya serikali za mitaa tena ambayo inamhusu mtu wa kawaida kabisa...lakini nayo imeandikwa kwa kiingereza tena kile kigumu
sasa cha kujiuliza waziri wa Utamaduni anafanya nini?
ofisi ya waziri mkuu kwa nini hawasemi jambo kuhusu hili?
na muhimu zaidi je nia ya kuchapisha hii miswada kwa kiingereza ni nini hasa?
je ni haku kusema kuwa kuna nia za siri ambazo watawala wetu hawataki tujue?