magaka Makoye
Member
- Sep 11, 2011
- 5
- 2
Wana JF naomba mnifahamishe au mchangie hoja hii: Kwa nini miss Tanzania huwa akishinda ni lazima awe ametokea Dar es salaam nikimaanisha Ama Miss kinondoni, Miss temeke au Miss Ilala.
Hivi washiriki wanaotokea maeneo mengine kwa nini huwa hawawi Miss Tanzania?
Hivi washiriki wanaotokea maeneo mengine kwa nini huwa hawawi Miss Tanzania?