TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,886
- 11,282
Wakuu... hebu mara nyingine tuw tunatafakari kabla ya kupost baadhi ya hoja...
The general statement given haina mantiki yoyote ya kujadili, Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya have been CCM stronghold kwa miaka mingi... je ni maskini? kwa kuangalia upande wa zanzibar, Pemba iko na wapinzani zaidi, je ni matajiri??
Na ni kipimo gani cha umaskini tunatumia, cha mkoa kwa ujumla au mtu na mtu??
Hakuna cha kujadili unless mtoa mada anaweza kutupa indicators alizotumia na pia kufanya thorough analysis
Acid
The general statement given haina mantiki yoyote ya kujadili, Dar, Arusha, Mwanza, Mbeya have been CCM stronghold kwa miaka mingi... je ni maskini? kwa kuangalia upande wa zanzibar, Pemba iko na wapinzani zaidi, je ni matajiri??
Na ni kipimo gani cha umaskini tunatumia, cha mkoa kwa ujumla au mtu na mtu??
Hakuna cha kujadili unless mtoa mada anaweza kutupa indicators alizotumia na pia kufanya thorough analysis
Acid