Jamani wadau nijibuni. Tukisema ccm ndio chanzo cha dhiki watu wanapinga. Tazama mikoa ya singida, Lindi mtwara na Tabora ambayo ndio ngome ya ccm ni ufukara kwa kwenda mbele. CCM imewasaidia nini? Niambieni jamani kwa nini hawa ndio wako maskini kuliko mikoa mingine?