Habari za asubuhi waungwana? Napata shida kukumbuka ni lini nimesikia au kushuhudia mikutano ya hadhara ikihutubiwa na mawaziri wa awamu hii ya nne,naomba kujua kama ipo,imepungua au hakuna kabisa na kwa nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.